Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
- Thread starter
- #41
Mkuu Simba haikuundwa kutoka Yanga sema iliundwa na wachezaji/viongozi waliokuwa Yanga baada ya kuona hawaendani na falsafa ya Yanga kwa hiyo haiwezi kuwa tawi la Yanga, ingekuwa ni tawi endapo falsafa zao zingekuwa zinaendana lakini sasa Yanga na Simba ni vitu viwili tofauti kabisa.
Unachotaka kusema ni sawa na kusema kwamba chama cha Republican cha Marekani ni tawi la chama cha Democratic kwa sababu tu wanachama wengi wa Democratic ndo waliounda chama cha Republican.
Kwa hiyo unakubali kuwa Simba imetokana na Yanga?