OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tumepokea taarifa kwamba Simba Sc na vigogo wengine wa Super League, wataanzia round ya kwanza katika Ligi ya Mabingwa.
Draw ya round ya awali inategemewa kufanyika tarehe 25 Julai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni,View attachment 2696365
Tumepokea taarifa kwamba Simba Sc na vigogo wengine wa Super League, wataanzia round ya kwanza katika Ligi ya Mabingwa.
Draw ya round ya awali inategemewa kufanyika tarehe 25 Julai.
Taarifa hazikutoka vyanzo vya kuaminikambona wanabadilika mwanzoni walisema wanaingia makundi Moja Kwa mojo
Umeelewa kilichoandikwa lakini ?CAF Inapendelea, Jambo hili linawezekanaje?
Finalist Wa CAF CC hawajawaona?
Naomba source ya taarifa Yako....au hata kapichaView attachment 2696366
Tumepokea taarifa kwamba Simba Sc na vigogo wengine wa Super League, wataanzia round ya kwanza katika Ligi ya Mabingwa.
Draw ya round ya awali inategemewa kufanyika tarehe 25 Julai.
Kama taarifa ni hii huoni huyo mwamba wako alipuyangaKuna mwamba fulani hivi alikuja na facts humu siku kadhaa zilizopita! Mkaishia kumkejeli.
Kumuamini mleta thread bila kuweka source na link inaonesha wewe ndio utakuwa na tatizo la akili kuliko yeye.Leo NIMEAMINI kuwa Simba ni timu kubwa Sana ...