Simba Sc kuanzia Round ya Kwanza Ligi ya Mabingwa

Leo NIMEAMINI kuwa Simba ni timu kubwa Sana ...
Kumuamini mleta thread bila kuweka source na link inaonesha wewe ndio utakuwa na tatizo la akili kuliko yeye.

Sindano za Jana kwa Mkapa ndio mnaweweseka kiasi hiki? Sasa mkichapwa nyinyi kwenye ngao ya jamii itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…