Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Wewe utakuwa jobless. Sasa hivi ni muda wa kazi.Mbona kama mashabiki wa simba wanaogopa kuchangia kwenye huu uzi! Shida iko wapi!! Binafsi nawatakia mchezo mzuri.
Dogo acha kukariri maisha. Vipi kama nimerudi kutoka lindo saa 12 asubuhi? Bado una ujasiri wa kuniita jobless! Vipi kama ninakula mafao!! Bado utaniita jobless!!Wewe utakuwa jobless. Sasa hivi ni muda wa kazi.
Sasa kama umetoka kukaba watu usiku kucha si ulale asubuhi upumzike,kha,,!😂😅Dogo acha kukariri maisha. Vipi kama nimerudi kutoka lindo saa 12 asubuhi? Bado una ujasiri wa kuniita jobless! Vipi kama ninakula mafao!! Bado utaniita jobless!!
Babu ushapata jezi yako?Kila la Kheri Mnyama
Simba Nguvu Moja [emoji123]
Nimeagiza Mjukuu, weekend itakuwa imenifikia huku KijijiniBabu ushapata jezi yako?
Safi sana babuNimeagiza Mjukuu, weekend itakuwa imenifikia huku Kijijini
Tukutane Simba day Taifa 🥂Safi sana babu
Sawa babuTukutane Simba day Taifa [emoji1635]
Unataka kumwaga lazi Mjukuu🙌Sawa babu
Nitakuja na dera[emoji28]
Manufaa kwa Simba ni wanachama na wapenzi kushiriki kwenye siku yao na kwa ajili ya maokoto ya pesa ya kulipa madeni ya usajiliWanasimba mkaujaze uwanja wa mkapa.
Tamasha lenu likafane.
Eti ooooh tamasha lao limedoda uwanja haujajaa.
Rekodi ya kuujaza uwanja wa mkapa saa saba inashikiliwa na simba.
Najua lote hili la daslam unaenda kujianika kwa mkapa.
Shida zote hizo za nini wakuu.
Tatizo simba inataka kuonekana ni kubwa kwa yanga kwa kuivizia yaani wanasubiri yanga wafanye matukio iliwao waangalie ni yapi yanga hajayafanya ili kuipiku.
Fanyeni vitu kwa maslahi yenu.
Mahesabu madogo tu ya akili
Mzunguko
40000*5000= 200000000 (simba)
30000*10000=300000000 (yanga)
Uwanja utajaa ila hamna manufaa.
[emoji23][emoji23]basi umekosa uhondo babuUnataka kumwaga lazi Mjukuu[emoji119]
Bahati nzuri macho ya Babu yako hayaoni mbali [emoji125][emoji125]
Unawashwa sana na mambo ya SimbaMbona kama mashabiki wa simba wanaogopa kuchangia kwenye huu uzi! Shida iko wapi!! Binafsi nawatakia mchezo mzuri.