Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Ahmed Ally amesema Siku ya Simba Day wataalika Mabingwa wa Zambia, Power Dynamos kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Wasanii wengi wakubwa watakuwepo.
Rekodi ya mwaka jana walijaza uwanja saa 7 mchana, mwaka huu wanataka kujaza uwanja saa 6 mchana.
Kwa mujibu wa Ahmed Ally, Simba SC inajali sana wanachama na mashabiki wao hivyo wameweka viingilio rafiki.
Kiingilio cha chini kabisa kitakuwa Tsh. 5000/- kwa mzunguko.
Aidha, waliohusika kupandisha kibegi kwenye kilele cha mlima kilimanjaro wataalikwa kwenye kilele cha siku hiyo na kitambulishwa rasmi, na Simba itagharamia huduma zote zinazowahusu kuanzia safari yao.
Wasanii wengi wakubwa watakuwepo.
Rekodi ya mwaka jana walijaza uwanja saa 7 mchana, mwaka huu wanataka kujaza uwanja saa 6 mchana.
Kwa mujibu wa Ahmed Ally, Simba SC inajali sana wanachama na mashabiki wao hivyo wameweka viingilio rafiki.
Kiingilio cha chini kabisa kitakuwa Tsh. 5000/- kwa mzunguko.
Aidha, waliohusika kupandisha kibegi kwenye kilele cha mlima kilimanjaro wataalikwa kwenye kilele cha siku hiyo na kitambulishwa rasmi, na Simba itagharamia huduma zote zinazowahusu kuanzia safari yao.