N nteze john lungu JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 214 Reaction score 200 Apr 9, 2019 #21 HesabuKali said: Ngoma huyuhuyu anayekipiga Yanga aende tope fc? Acha utani hamna hela ya kumpa Ngoma nyinyi, kwanza ashapata timu kwa madiba huko atakubali vip kuja kucheza ndondo Click to expand... Muda ni mwalimu mzuri sana asee leo yanga wamekua ombaomba wa kutupwa na simba wako juu wako kileleni
HesabuKali said: Ngoma huyuhuyu anayekipiga Yanga aende tope fc? Acha utani hamna hela ya kumpa Ngoma nyinyi, kwanza ashapata timu kwa madiba huko atakubali vip kuja kucheza ndondo Click to expand... Muda ni mwalimu mzuri sana asee leo yanga wamekua ombaomba wa kutupwa na simba wako juu wako kileleni