Simba SC kufungwa goli 2 - 1 na Wydad

Simba SC kufungwa goli 2 - 1 na Wydad

Ingawa tutakosa amani kwa makelele, ila nawaombea mpate ushindi. Mkishinda Tanzania imeshinda, Yanga ikishinda Tanzania imeshinda.

Naaminj mtapigana haijwahi kutokea. Kwa nn? Kwa sababu mnajua kwa miaka minne sasa mnaishia robo fainali, ila mtani wenu kaja first attempt tu mguu mmoja uko ndani ya semi final. Kitu ambacho hamtokubali kukiskia maskioni mwenu.
Sahihi
 
Huku ni Club BINGWA kaka.

Mpira ni Dakika tisini
Sio na Wydad! Abajalo Faru Dume na Lipuli sawa!

Simba mtapigwa week (7-0) huko Morocco.

Mkishakandwa mje kushtaki mi nimekaa paleeee kibanda umiza Buza kwa Mpalanger!
 
49ecc00c0abc4887a8efc267ffa8e44e.jpg
 
Back
Top Bottom