Headcorner
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 205
- 292
Hili basi ruti za mkoani linapiga? Mfano Moro tu hapo? Limekaa kama la ruti za mjini hapa hapa Dar...
Na wasipoangalia ile mbaula itakuja kuwachinja siku mojaIna maana Yanga bado wanatumia basi la Hisani?
Nyani roho zinawauma sanaHili basi ruti za mkoani linapiga? Mfano moro tu hapo? Limekaa kama la ruti za mjini hapa hapa dar...
Ndugu yangu mpira usitufikishe kwenye kuwazia mabaya. Hao unaowaza hilo gari litawachinja wana familia pia.Na wasipoangalia ile mbaula itakuja kuwachinja siku moja
Mbandika sticker hajui kazi kichwa cha simba kaficha kwenye tairi.. 😁
Nimejiuliza kama wewe.Hili basi ruti za mkoani linapiga? Mfano moro tu hapo? Limekaa kama la ruti za mjini hapa hapa dar...
Dah wewe jamaa mfukunyuku sanambandika sticker hajui kazi kichwa cha simba kaficha kwenye tairi.. 😁
Tata huyo anaenda popoteHili basi ruti za mkoani linapiga? Mfano moro tu hapo? Limekaa kama la ruti za mjini hapa hapa dar...
Unaacha Yotong, unanunua TATA, kisa product ya wahindi wenzio, Anyway kupanga Ni kuchagua.Hili basi ruti za mkoani linapiga? Mfano moro tu hapo? Limekaa kama la ruti za mjini hapa hapa dar...
Hahahahandugu yangu mpira usitufikishe kwenye kuwazia mabaya. Hao unaowaza hilo gari litawachinja wana familia pia.
Unajuaje na hili la Simba nalo kama si la hisaniIna maana Yanga bado wanatumia basi la Hisani?
Kwa mabus yaendayo mikoani sijaona kampuni ya TATA..ila Kagera Sugar wanalo piaHili basi ruti za mkoani linapiga? Mfano moro tu hapo? Limekaa kama la ruti za mjini hapa hapa dar...
Lakini ujue kuwa hilo sio bus la biashara as in kuwa linapiga ruti kila siku. Hilo linatumika kwa special events tu na team ikienda mikoa ya mbali wanakwea mwewe.Kwa mabus yaendayo mikoani sijaona kampuni ya TATA..ila Kagera Sugar wanalo pia
Sikuizi route za mbali tunatumia ndege.Hili basi ruti za mkoani linapiga? Mfano moro tu hapo? Limekaa kama la ruti za mjini hapa hapa dar...
Unaacha Yotong, unanunua TATA, kisa product ya wahindi wenzio, Anyway kupanga Ni kuchagua.
Acha roho mbaya bana,tena utachekwa TATA na Yutong gari gani imara?Unaacha Yotong, unanunua TATA, kisa product ya wahindi wenzio, Anyway kupanga Ni kuchagua.