Simba SC kuna mchezaji wa kumuweka benchi Mzize? Nani ana hata robo ya profile ya Mzize?

Simba SC kuna mchezaji wa kumuweka benchi Mzize? Nani ana hata robo ya profile ya Mzize?

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
1. Tuwe wa kweli, Simba pale nani ana profile kama Mzize? Sio simba tu hata azam fc nani? Hamna

2. ligi nzima nani? Amna.

Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also

3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.

4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.

So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.

Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.
 
1. Tuwe wa kweli, Simba pale nani ana profile kama Mzize? Sio simba tu hata azam fc nani? Hamna

2. ligi nzima nani? Amna.

Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also

3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.

4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.

So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.

Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.
Too much Ushabiki ni hasara.
 
1. Tuwe wa kweli, Simba pale nani ana profile kama Mzize? Sio simba tu hata azam fc nani? Hamna

2. ligi nzima nani? Amna.

Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also

3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.

4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.

So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.

Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.
Hakuna. Hakuna. Hakunaaaa. Wote wanaanzia benchi.
 
Hilo goli moja aliwakanda kina nani
mzize ame assist goli ngapi?? na amefunga goli ngapi??

5 - 1 . mzize aliwafungua sana. Acha kukaza,

kibu sio quality ya kumuweka benchi mzize.

your simply a joker sio mwanamichezo.
 
Back
Top Bottom