Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
1. Tuwe wa kweli, Simba pale nani ana profile kama Mzize? Sio simba tu hata azam fc nani? Hamna
2. ligi nzima nani? Amna.
Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also
3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.
4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.
So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.
Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.
2. ligi nzima nani? Amna.
Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also
3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.
4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.
So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.
Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.