Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
ukiweza njoo na data.Aisee kweli akili ni kitu muhimu sana
mtaje mchezaji?? hata mmoja ligi hii ya nbc.Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
Magomamtaje mchezaji?? hata mmoja ligi hii ya nbc.
🚮Magoma
Too much Ushabiki ni hasara.1. Tuwe wa kweli, Simba pale nani ana profile kama Mzize? Sio simba tu hata azam fc nani? Hamna
2. ligi nzima nani? Amna.
Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also
3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.
4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.
So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.
Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.
😂😂😂 Nilipofika hapa ikabidi nicheke3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.
wapi atacheza pale yanga??Kumbe Zimbwe Jr anacheza netboli siku hizi?
Huu sio ushabiki. hii kitu nime analysis na nimeona kabisa. data speak alot.Too much Ushabiki ni hasara.
Atawekwa bench na kibu mkandajiHuu sio mshabiki. hii kitu nime analysis na nimeona kabisa.
mimi shabiki wa azam fc
Hakuna. Hakuna. Hakunaaaa. Wote wanaanzia benchi.1. Tuwe wa kweli, Simba pale nani ana profile kama Mzize? Sio simba tu hata azam fc nani? Hamna
2. ligi nzima nani? Amna.
Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also
3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.
4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.
So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.
Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.
goli moja msimu mzima 💀.Atawekwa bench na kibu mkandaji
Hilo goli moja aliwakanda kina nanigoli moja msimu mzima 💀. kuna good reason kibu angekuja yanga angefia benchi.
mzize ame assist goli ngapi?? na amefunga goli ngapi??Hilo goli moja aliwakanda kina nani