Expensive life JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 2,971 Reaction score 9,437 Jun 14, 2020 #1 Mabingwa watetezi ligi kuu bara, wekundu wa msimba(simba) leo majira ya saa kumi jioni. Watakipiga na majirani zao kutoka mkoani pwani Ruvu shooting fc hakika utakuwa ni mchezo mkali na wakusisimua. Kwa watakao kwenda uwanjani viingilio ni kama ifuatavyo: 1.MZUNGUKO elfu 5000 2.VIP B elfu 10000 3.VIP A elfu 15000 Utabiri wangu kulingana na ubora wa vikosi vyote viwili, Simba ataibuka na ushindi usiopungua magoli matatu.
Mabingwa watetezi ligi kuu bara, wekundu wa msimba(simba) leo majira ya saa kumi jioni. Watakipiga na majirani zao kutoka mkoani pwani Ruvu shooting fc hakika utakuwa ni mchezo mkali na wakusisimua. Kwa watakao kwenda uwanjani viingilio ni kama ifuatavyo: 1.MZUNGUKO elfu 5000 2.VIP B elfu 10000 3.VIP A elfu 15000 Utabiri wangu kulingana na ubora wa vikosi vyote viwili, Simba ataibuka na ushindi usiopungua magoli matatu.
Saguda47 JF-Expert Member Joined May 1, 2016 Posts 11,258 Reaction score 20,386 Jun 14, 2020 #2 Kila la kheri Chama langu Simba Sports club! Nguvu Moja
magagafu JF-Expert Member Joined Jan 31, 2016 Posts 1,196 Reaction score 1,309 Jun 14, 2020 #3 # taifa kubwa
Ngwega JF-Expert Member Joined Aug 6, 2019 Posts 589 Reaction score 632 Jun 14, 2020 #4 Lazima mfe nyingi tu mpaka game inaisha Simba 1-2 Ruvu shooting