Simba SC: Kuwakabili Ruvu shooting uwanja wa Taifa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mabingwa watetezi ligi kuu bara, wekundu wa msimba(simba) leo majira ya saa kumi jioni.

Watakipiga na majirani zao kutoka mkoani pwani Ruvu shooting fc hakika utakuwa ni mchezo mkali na wakusisimua.

Kwa watakao kwenda uwanjani viingilio ni kama ifuatavyo:
1.MZUNGUKO elfu 5000
2.VIP B elfu 10000
3.VIP A elfu 15000

Utabiri wangu kulingana na ubora wa vikosi vyote viwili, Simba ataibuka na ushindi usiopungua magoli matatu.
 
Lazima mfe nyingi tu mpaka game inaisha Simba 1-2 Ruvu shooting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…