Genta...Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.
Huu ndiyo uzi wa kumtia drip mgonjwa ili apate ahueni, tunataka kuona timu zetu zinafanya vizuri kimataifa, si kuwa tu na ushabiki wa Yanga na Simba, uzalendo uwekwe mbele. Timu zetu zinakuwa na hii siyo Simba tunayoijua, Simba inauwezo wa kufanya vizuri zaidi lakini wajitathmini kutokana na mchezo wa Ndola kabla mambo hayajakuwa ya hovyo.