Simba SC kwa hesabu za Robo Fainali

Simba SC kwa hesabu za Robo Fainali

Village-in

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2022
Posts
2,184
Reaction score
4,517
Mimi ni jangwani pure,ila niongee kidogo hili. Mikia wakichanga karata zao vizuri na wakaachana na mambo ya Rivas na moto viwanjani watapenya hadi robo final.

Hesabu ziwe hivi. Wana point 3. Mechi ijayo mikia wanarudiana na Vipers hapa. Vipers watagongwa viwili hapa. Ukizingatia mikia watataka kurudisha heshima hapa na ile hamasa ya mama kununua magoli. Mikia lazima wajikamue,ushindi uko mbele yao. Point 6 tayari hapo.

Mechi inayofuata wanawafuata vinara Raja,kumbuka hapo Raja tayari watakuwa wana point 12 na kufuzu baada ya kurudiana na Horoya na kuwagonga 1-0 pale pale kwao. Hivyo Raja wakati wanarudiana na mikia tayari watakuwa kazi wameimaliza watarelux. Kwa hiyo hapo mikia watapewa bure sare iwe ya 0-0 au 1-1.

Mikia hapo watahesabu point 7.
Watarudi home kuja kumalizana na Horoya. Hapo iwe jua au mvua. Asubuhi,jioni. Afe kipa, afe beki. Hiyo mechi iwe ni finally lazima Horoya alale kimoja hapa. Kazi imekwisha. Point 10 zileeeeee paleeeee. Nafasi ya pili. Kazi kwenu.
 
Yani wao washinde tu ,hao wenzao watakua wanafanya nin uwanjani?
 
We ni Mikia FC Pusha FC Punda FC Bwimbwi FC bana.
 
Mimi ni jangwani pure,ila niongee kidogo hili. Mikia wakichanga karata zao vizuri na wakaachana na mambo ya Rivas na moto viwanjani watapenya hadi robo final.

Hesabu ziwe hivi. Wana point 3. Mechi ijayo mikia wanarudiana na Vipers hapa. Vipers watagongwa viwili hapa. Ukizingatia mikia watataka kurudisha heshima hapa na ile hamasa ya mama kununua magoli. Mikia lazima wajikamue,ushindi uko mbele yao. Point 6 tayari hapo.

Mechi inayofuata wanawafuata vinara Raja,kumbuka hapo Raja tayari watakuwa wana point 12 na kufuzu baada ya kurudiana na Horoya na kuwagonga 1-0 pale pale kwao. Hivyo Raja wakati wanarudiana na mikia tayari watakuwa kazi wameimaliza watarelux. Kwa hiyo hapo mikia watapewa bure sare iwe ya 0-0 au 1-1.

Mikia hapo watahesabu point 7.
Watarudi home kuja kumalizana na Horoya. Hapo iwe jua au mvua. Asubuhi,jioni. Afe kipa, afe beki. Hiyo mechi iwe ni finally lazima Horoya alale kimoja hapa. Kazi imekwisha. Point 10 zileeeeee paleeeee. Nafasi ya pili. Kazi kwenu.
Kwani ni lazima uanze kwa kusema 'mini ni jangwani' ????
 
Mimi ni jangwani pure,ila niongee kidogo hili. Mikia wakichanga karata zao vizuri na wakaachana na mambo ya Rivas na moto viwanjani watapenya hadi robo final.

Hesabu ziwe hivi. Wana point 3. Mechi ijayo mikia wanarudiana na Vipers hapa. Vipers watagongwa viwili hapa. Ukizingatia mikia watataka kurudisha heshima hapa na ile hamasa ya mama kununua magoli. Mikia lazima wajikamue,ushindi uko mbele yao. Point 6 tayari hapo.

Mechi inayofuata wanawafuata vinara Raja,kumbuka hapo Raja tayari watakuwa wana point 12 na kufuzu baada ya kurudiana na Horoya na kuwagonga 1-0 pale pale kwao. Hivyo Raja wakati wanarudiana na mikia tayari watakuwa kazi wameimaliza watarelux. Kwa hiyo hapo mikia watapewa bure sare iwe ya 0-0 au 1-1.

Mikia hapo watahesabu point 7.
Watarudi home kuja kumalizana na Horoya. Hapo iwe jua au mvua. Asubuhi,jioni. Afe kipa, afe beki. Hiyo mechi iwe ni finally lazima Horoya alale kimoja hapa. Kazi imekwisha. Point 10 zileeeeee paleeeee. Nafasi ya pili. Kazi kwenu.
Raja na Simba ni mechi ya mwisho kabisa. Mechi inayofuata ni dhidi ya Horoya baada ya Simba kumalizana na Vipers. Horoya kama watacheza kwa nidhamu ile waliyoinesha kwa Raja basi kuna uwezekano wa Simba kutokupata goli kama washambuliaji hawatojirekebisha. Jamaa wanajua kubana aisee
 
Hiz hesabu zako zitakua na maana tu pale Raja atakapo mpiga Horoya kwao
 
Mimi ni jangwani pure,ila niongee kidogo hili. Mikia wakichanga karata zao vizuri na wakaachana na mambo ya Rivas na moto viwanjani watapenya hadi robo final.

Hesabu ziwe hivi. Wana point 3. Mechi ijayo mikia wanarudiana na Vipers hapa. Vipers watagongwa viwili hapa. Ukizingatia mikia watataka kurudisha heshima hapa na ile hamasa ya mama kununua magoli. Mikia lazima wajikamue,ushindi uko mbele yao. Point 6 tayari hapo.

Mechi inayofuata wanawafuata vinara Raja,kumbuka hapo Raja tayari watakuwa wana point 12 na kufuzu baada ya kurudiana na Horoya na kuwagonga 1-0 pale pale kwao. Hivyo Raja wakati wanarudiana na mikia tayari watakuwa kazi wameimaliza watarelux. Kwa hiyo hapo mikia watapewa bure sare iwe ya 0-0 au 1-1.

Mikia hapo watahesabu point 7.
Watarudi home kuja kumalizana na Horoya. Hapo iwe jua au mvua. Asubuhi,jioni. Afe kipa, afe beki. Hiyo mechi iwe ni finally lazima Horoya alale kimoja hapa. Kazi imekwisha. Point 10 zileeeeee paleeeee. Nafasi ya pili. Kazi kwenu.
Rahisi hesabu kusema hivyo ila kwenye uhalisia haiko hivyo usikite Vipers akashinda
 
Rahisi hesabu kusema hivyo ila kwenye uhalisia haiko hivyo usikite Vipers akashinda
Aaah...! Ngumu kushinda. Wakijitahidi sana sare na hiyo ni kssb tu mikia hawajatulia kwa sasa mbele. Lakini bado nauona ushindi wa mikia kwa hapa home
 
Mimi ni jangwani pure,ila niongee kidogo hili. Mikia wakichanga karata zao vizuri na wakaachana na mambo ya Rivas na moto viwanjani watapenya hadi robo final.

Hesabu ziwe hivi. Wana point 3. Mechi ijayo mikia wanarudiana na Vipers hapa. Vipers watagongwa viwili hapa. Ukizingatia mikia watataka kurudisha heshima hapa na ile hamasa ya mama kununua magoli. Mikia lazima wajikamue,ushindi uko mbele yao. Point 6 tayari hapo.

Mechi inayofuata wanawafuata vinara Raja,kumbuka hapo Raja tayari watakuwa wana point 12 na kufuzu baada ya kurudiana na Horoya na kuwagonga 1-0 pale pale kwao. Hivyo Raja wakati wanarudiana na mikia tayari watakuwa kazi wameimaliza watarelux. Kwa hiyo hapo mikia watapewa bure sare iwe ya 0-0 au 1-1.

Mikia hapo watahesabu point 7.
Watarudi home kuja kumalizana na Horoya. Hapo iwe jua au mvua. Asubuhi,jioni. Afe kipa, afe beki. Hiyo mechi iwe ni finally lazima Horoya alale kimoja hapa. Kazi imekwisha. Point 10 zileeeeee paleeeee. Nafasi ya pili. Kazi kwenu.
Hesabu zako ni kama kilimo cha matikiti kwenye makaratasi.
 
Hesabu zako ni kama kilimo cha matikiti kwenye makaratasi.
Wewe unafikiri wanaobet wanapatieje?. Au wewe unafikiri kweli COVID sio utaperi taperi fulani kwenye hiyo kitu?.
Yote kwa yote utanirudia hapa niko paleeeee nakusubiri
 
Raja na Simba ni mechi ya mwisho kabisa. Mechi inayofuata ni dhidi ya Horoya baada ya Simba kumalizana na Vipers. Horoya kama watacheza kwa nidhamu ile waliyoinesha kwa Raja basi kuna uwezekano wa Simba kutokupata goli kama washambuliaji hawatojirekebisha. Jamaa wanajua kubana aisee
Simba game ya mwisho anamalizia nyumbani vs horoya, uliyeanza nae ndiye utamaliza nae,
 
Back
Top Bottom