Simba SC kwa hesabu za Robo Fainali

Simba SC kwa hesabu za Robo Fainali

Hapo Simba aombee horoya asipate alama inayozidi moja kwa raja, yaani waishie drop tu
 
Simba game ya mwisho anamalizia nyumbani vs horoya, uliyeanza nae ndiye utamaliza nae,
Mkuu usiwe unabisha kitu pasipo kufatilia kwanza. Game ya mwisho ya Simba itakuwa dhdi ya Raja na wala sio Horoya
IMG_20230226_121614.jpg
 
Inaanza hivi

1. Simbab SC vs Vipers
2. Simba SC vs Horoya
3. Raja club athletic vs Simba SC
 
Hiz hesabu zako zitakua na maana tu pale Raja atakapo mpiga Horoya kwao

Hiyo haina uhakika.

Horoya ana tabia ya kucheza na waarabu kwenye jua.

Kama caf wakikomaa mechi ichezwe usiku. Raja ana nafasi ya kumfunga horoya kwake.

Ila ikichezwa jua bado halijazama. Horoya anamfunga raja. Waarabu hawana makali kwenye jua. Jua linawatesa sana waarabu

Msimu uliopita horoya alimfunga raja
 
Mbona utopolo haijadiliwi namna hii? Kwamba ina uhakika wa kufuzu?
 
Hii ilishajadiliwa sana hapa jukwaani. Tafsiri yake ni kuwa hujiamuni na hoja yako
Mbona unaoongea kama umelewa kimpumu. Simba wamecheza jana tu na kupoint 3 na ndio kiini cha hoja yangu. Sasa wewe unasema imejadiriwa sana hapa jukwaani lini wakati Simba ni jana tu wamecheza.
Pili unasema sijiamini na hoja yangu. Ningeitoa hapa ningekuwa sijiamini? Si ningetulia tu,kwani nalipwa?. Lazima kuna shida mahala kwenye uelewa kwako. Kuna umuhimu ufanyiwe upasuaji haraka.
 
Raja na Simba ni mechi ya mwisho kabisa. Mechi inayofuata ni dhidi ya Horoya baada ya Simba kumalizana na Vipers. Horoya kama watacheza kwa nidhamu ile waliyoinesha kwa Raja basi kuna uwezekano wa Simba kutokupata goli kama washambuliaji hawatojirekebisha. Jamaa wanajua kubana aisee
Kwa hiyo raja hawakupata goli kumbe?
 
Back
Top Bottom