Simba SC: Kwanini tusibebe CAF Champions League?

Mtanisamehe wana simba....


Wydad Casablanca my favourite team..

Wydad Casablanca or Al ahly, kati yao anaondoka na ndoo mazima...



Wydad oyeee 🔥🔥🔥
 
Ndo mipango yetu hiyo
 
Hamna huo uwezo ....

Narudia tena uwezo Hamna...



Nasema hivi simba hana uwezo huo kenge wewe
Sasa mbna umesisitiza vizuri na unanitukana juu



Sinaga kauli mbovu tusitukanane kutaftiana BAN sababu wengine tukifungua midomo tuna kauli chafu



Anyway najua una hasira na matokeo ya Yanga na matokeo ya simba yanakuumiza zaidi , , ,ko samahan kwa niaba
 
SImba ubingwa mchukue nyie underdog? Tarehe 9/4 al ahl anawapiga mkono na kusambaratisha ndoto zenu za alnacha
Al ahly hawezi kumfunga simba msimu huu,iwe away kwake Cairo.Hiyo match itatuma salam mbaya sana kwa vilabu vingine vinavyoshiriki kombe hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…