Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ndoo pekee mtaakazo beba ni za mafuta naza kuchotea majiNafasi ya 5 sawa.. je ligi imeisha?
Yanga hajawah kufungwa na mbao?..
Ndoo tunabeba tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoo pekee mtaakazo beba ni za mafuta naza kuchotea majiNafasi ya 5 sawa.. je ligi imeisha?
Yanga hajawah kufungwa na mbao?..
Ndoo tunabeba tena
Haahaa sawa mtaniNdoo pekee mtaakazo beba ni za mafuta naza kuchotea maji
au kizibo kabisa... kweli ya mbele giza tupu.Bakisha maneno kiongozi! Tunaweza ungana kutembeza bakuli muda wowote! Hizi timu ni kulwa na doto
Hata msimu uliopita tulibeba kwa mdomo.. siku tukikaa pale juu mtasema manara anafunga magoli ya offside.Kwa mdomoni mtabeba,but uwanjani msahau
Mkuu.. Aliyeuliza swali nimeona nikimpa jibu tu halitatosha.. Ikabidi nimpe na overview ya mechi nzima ilivyokual, KARIDHIKA. Inakuaje wewe ambae hujauliza swali unakwazika na majibu yangu?Jamaa kaomba matokeo tu,hizo mbwembwe nyingine sijaona kama amezihitaji pia
Mkuu juzi juzi tu hapa niliwapa huu ushauri..Inatafuta ela ya matumizi.. njaa itawaumiza watani.
Ha ha ha ha pamoja na kuwepo kwa CR7 Wa Uganda bado hakuna mbwembwe?Mkuu.. Aliyeuliza swali nimeona nikimpa jibu tu halitatosha.. Ikabidi nimpe na overview ya mechi nzima ilivyokual, KARIDHIKA. Inakuaje wewe ambae hujauliza swali unakwazika na majibu yangu?
Leo CR7 wa Uganda, Okwi pamoja na Beki Kisiki, Kiboko ya Samatta, Juuko Murshid watakua dimbani kuanzia saa 10 kamili wakipambana na Lesotho. Na hii itakua ni katika mchezo wa kuwani kufuzu AFCON. Ikumbukwe Uganda, Lesotho, Cape Verde na Tanzania wapo kundi moja.
NB: Natumai sijaweka mbwembwe katika swali lako.
Ha ha ha ha pamoja na kuwepo kwa CR7 Wa Uganda bado hakuna mbwembwe?
Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
Hii ndio simba unaniekea agrey Morris, mudathiri, mwantika, ulimwengu, kessy, himid mao wacheza ndondo kweli Tanzania tumelaaniwaga tena nazani walikula ubwabwa maana walikua mrenda sana