Simba SC Mabingwa wa Kombe la shirikisho kwa mara ya pili mfululizo

Simba SC Mabingwa wa Kombe la shirikisho kwa mara ya pili mfululizo

Mnyuke Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2021
Posts
4,472
Reaction score
6,391
Wasalaaaam wakuu

Mimi ni mdau na shabiki wa Yanga mkubwa sana ila kwa ndoto nilizopata usiku wa kuamkia leo ni taswira halisi ya kitakacho enda kutokea huko Kigoma katika fainali ya kombe la shirikisho Tanzania baina ya mahasimu wakubwa na watani jadi Yanga na Simba

Ndoto ya kwanza nilianza kuota Nikiwa kibanda umiza na katikati wa watu wakiwa wanashangilia sana ubingwa wa simba, nilifadhaika sana ndani ya nafsi yangu kwa mimi ni shabiki na mpenzi wa Yanga na nilitamani timu yangu iweze kushinda mchezo huo, ila ghafla nilishtuka kutoka usingizi na nikiwa na wenge kwa kilichotokea kwenye ndoto na nikamshukuru Mungu lile halikuwa tukio halisi.

Baada ya kupitiwa na usingizi, tena kwa mara ya pili nilianza kupata ndoto ya mchezo huo ambapo mchezo hadi dakika ya 90 zinamalizika hakuna timu iliyo ona lango la mwenzake na hivyo mchezo kuelekea kwenye hatua za penati(Matuta) na mwisho Simba akainuka tena bingwa wa mashindano hayo kwa ushindi wa penati wa Simba 5 na Yanga 3, ila nikashtuka tena kutoka usingizi na kutambua nilikuwa katika njozi tu na sio uhalisia wa kilichotokea

Ila ndoto zinanipa mashaka kwani nimekuwa ni mtu ambaye huwa napata njozi za namna hii mara kwa mara, hasa za kwenye mechi za mpira wa miguu na Zimekuwa zikitokea kama nilivyopata ndoto na kupelekea hata hii ndoto niliyopata usiku wa kuamkia leo ni kweli simba atakuwa Bingwa katika mashindano hayo

Hii ni fursa kwa watu wa betting katika mechi hii, unaweza kubet kwa option mbili ya kwanza kumpa simba ubingwa na ya pili ni kumpa simba ubingwa tena kwa njia ya penati na hakika utaweza kushinda katika betting yako

Mwisho nakupongeza sana Mtani kwa ubingwa huu wa Kombe la shirisho Tanzania kwa mara ya pili mfululizo.
Ahsante.
 
Niseme wazi mimi sio mtabiri mzuri ila simba wana nafisi nzuri ya kushinda hii game, Wao ni bora sana kuliko Yanga, mbaya zaidi timu yangu Yanga itaenda na matokeo ya game iliyopita, ili hali siku ile simba game ilikataa tu, leo watakipiga kwa jasho na damu watataka kupata goal la mapema, hii itaivuriga Yanga hapo ndipo naona ugumu wa hii game kwa Timu yangu.

Mwisho wa yote darby ya Yanga vs Simba, mshindi ni yule arakaye muotea mwenzake.
 
Wasalaaaam wakuu

Mimi ni mdau na shabiki wa Yanga mkubwa sana ila kwa ndoto nilizopata usiku wa kuamkia leo ni taswira halisi ya kitakacho enda kutokea huko Kigoma katika fainali ya kombe la shirikisho Tanzania baina ya mahasimu wakubwa na watani jadi Yanga na Simba

Ndoto ya kwanza nilianza kuota Nikiwa kibanda umiza na katikati wa watu wakiwa wanashangilia sana ubingwa wa simba, nilifadhaika sana ndani ya nafsi yangu kwa mimi ni shabiki na mpenzi wa Yanga na nilitamani timu yangu iweze kushinda mchezo huo, ila ghafla nilishtuka kutoka usingizi na nikiwa na wenge kwa kilichotokea kwenye ndoto na nikamshukuru Mungu lile halikuwa tukio halisi.

Baada ya kupitiwa na usingizi, tena kwa mara ya pili nilianza kupata ndoto ya mchezo huo ambapo mchezo hadi dakika ya 90 zinamalizika hakuna timu iliyo ona lango la mwenzake na hivyo mchezo kuelekea kwenye hatua za penati(Matuta) na mwisho Simba akainuka tena bingwa wa mashindano hayo kwa ushindi wa penati wa Simba 5 na Yanga 3, ila nikashtuka tena kutoka usingizi na kutambua nilikuwa katika njozi tu na sio uhalisia wa kilichotokea

Ila ndoto zinanipa mashaka kwani nimekuwa ni mtu ambaye huwa napata njozi za namna hii mara kwa mara, hasa za kwenye mechi za mpira wa miguu na Zimekuwa zikitokea kama nilivyopata ndoto na kupelekea hata hii ndoto niliyopata usiku wa kuamkia leo ni kweli simba atakuwa Bingwa katika mashindano hayo

Hii ni fursa kwa watu wa betting katika mechi hii, unaweza kubet kwa option mbili ya kwanza kumpa simba ubingwa na ya pili ni kumpa simba ubingwa tena kwa njia ya penati na hakika utaweza kushinda katika betting yako

Mwisho nakupongeza sana Mtani kwa ubingwa huu wa Kombe la shirisho Tanzania kwa mara ya pili mfululizo.
Ahsante.
Ndoto yako ni ya kweli
 
Shabiki wa Simba Mzee El Maamry amefariki leo, hivyo kuna ka uwezekano wa Simba kushinda leo.

Kunapokuwa na Kombe uwanjani Simba hufanya chochote ilimradi washinde, leo watacheza jihadi ili wasifungwe mara mbili na Yanga.
 
Shabiki wa Simba Mzee El Maamry amefariki leo, hivyo kuna ka uwezekano wa Simba kushinda leo.

Kunapokuwa na Kombe uwanjani Simba hufanya chochote ilimradi washinde, leo watacheza jihadi ili wasifungwe mara mbili na Yanga.
Kwahiyo mmetoa kafara kwa ajili ya yanga
 
Hakika amekalia utajiri
Yaah hii game niliiona kwa pande mbili ya kwanza Game inaenda matuta baada ya dakika tisini kutimia bila magoli na hili nakuhakikishia bila maelekezo ya refa kuhusu hii game na kutoa kadi nyekundu mapema ndio ilikuwa inaenda kutokea hivyo
 
Back
Top Bottom