Simba sc (mikia) yapoteza mvuto

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,804
Reaction score
10,715
Licha ya kuwa na mechi muhimu, hakuna mdau yeyote wa mikia aliyechangamkia kuanzisha thread kama ilivyo ada. Hali hii imechangiwa na sababu mbili kubwa:

Mosi, mwenendo mbovu wa mikia hao.
Pili, kandanda safi la Dar Young Africans dhidi ya waarabu jana.

Kwa kawaida wadau hushindana kuanzisha uzi ili kupata haki ya uanzilishi.
 

Nani alikwambia kwamba uzi lazima uanzishwe na shabiki wa timu husika?
 
Wewe yako siasa sio mpira, Unawazungumzia Simba unafananisha pasi za jana na waarabu? Wewe kweli una matizo kabisa, Hebu nikukumbushe kipigo cha Yanga cha mwisho kutoka Simba, usifananishe Simba na wehu mnao wafunga wewe jana hujacheza na simba usiitaje Simba hapa
 
Mkuu anzisha basi.
Mimi siko uwanjani, sina TV wala radio, unataka nianzishe halafu hizo update natoa wapi au nitakuwa nasubiri nyie muweke hizo update na mimi ndo naziboresha?
 
Mimi siko uwanjani, sina TV wala radio, unataka nianzishe halafu hizo update natoa wapi au nitakuwa nasubiri nyie muweke hizo update na mimi ndo naziboresha?
ahaaahaaa....mkuu umenichekesha sana!!
naona leo umeikana hadi redio yako, pole mkuu.
 
Mliotangulia kukoment wote ni mashabk wa Ndala, Lakn czan kama mtaanzsha thread cku ya marudiano huko cairo.
 
ahaaahaaa....mkuu umenichekesha sana!!
naona leo umeikana hadi redio yako, pole mkuu.
Mkuu nadhani sijaeleweka vizuri, hivyo vitu vyote nyumbani vipo ila huku niliko sina access navyo, afadhali leo simu yangu haitaniangusha angalau nitakuwa na access na internet, siku ya kina Bunu na Swita hata Internet sikuwa nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…