Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Licha ya kuwa na mechi muhimu, hakuna mdau yeyote wa mikia aliyechangamkia kuanzisha thread kama ilivyo ada. Hali hii imechangiwa na sababu mbili kubwa:
Mosi, mwenendo mbovu wa mikia hao.
Pili, kandanda safi la Dar Young Africans dhidi ya waarabu jana.
Kwa kawaida wadau hushindana kuanzisha uzi ili kupata haki ya uanzilishi.
Mosi, mwenendo mbovu wa mikia hao.
Pili, kandanda safi la Dar Young Africans dhidi ya waarabu jana.
Kwa kawaida wadau hushindana kuanzisha uzi ili kupata haki ya uanzilishi.