Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Kichaa wa kweli Ni nani sasa??Ni kichaa tu anaemini mikia yatashinda kesho
Team iliyopasuka pasuka imempiga MTU bao 4Tuna hali ngumu kiasi wanasimba wenzangu,tunapambana Mkude acheze maana ndani ya timu kuna mgogoro mkubwa sana timu imepasuka vipande vipande.
Simba nguvu 0
Siku nyingine usiite kweli jambo ambalo bado halijatokea.Naona umejificha kwa style ya Mbuni jitokeze sasaNi kweli kabisa Simba hii mechi haitoboi,so sad nadhan baada ya hapa,simba watajitathimini vizuri
Naona umejificha kwa Style ya Mbuni, tunakuangalia tu huku tukifurahia kinachoonekana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie ndio mnasababisha serikali itoe adhabu kali kwenye makosa ya kutumia bangi.
Sasa njoo ujieleze kwa Ukamilifu, Wewe ni Utopolo enheee??Hakunaga wanaSimba waogaoga kama weweWanasimba wenzangu tujiandae kisaikolojia. Dalili zipo wazi kwamba hatutaweza kuwatoa FC Platnum.
Shida kubwa ni dalili zinazoonyesha kwamba play off tutakayoangukia tutajikuta miguuni mwa UD Songo ambayo inacheza mechi yake kesho dhidi ya NAPSA , UD Songo inapewa nafasi kubwa kuitoa NAPSA.
Tupigeni magoti tusali.
Mwamuzi kaharibu mchezo mapema kabisaNaona umejificha kwa Style ya Mbuni, tunakuangalia tu huku tukifurahia kinachoonekana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una la kusema mpaka hapa??Simba 4-0 Platinum, Simba ndani ya Makundi.Safari inaendelea
Mkuu unamaanisha ?Tulitamani sana mfike hatua hii, tumemis sana ujio wa club kubwa barani Afrika.
Umeona ujinga wako?utakuwa huna marinda weweNi kichaa tu anaemini mikia yatashinda kesho
NdiyoTeam iliyopasuka pasuka imempiga MTU bao 4
Wanasimba wenzangu tujiandae kisaikolojia. Dalili zipo wazi kwamba hatutaweza kuwatoa FC Platnum.
Shida kubwa ni dalili zinazoonyesha kwamba play off tutakayoangukia tutajikuta miguuni mwa UD Songo ambayo inacheza mechi yake kesho dhidi ya NAPSA , UD Songo inapewa nafasi kubwa kuitoa NAPSA.
Tupigeni magoti tusali.
Sawa. Lakin nakuambia Plutnum wanacheza kama Nkana na kwa kifupi Wazambia na Wazimbabwe ni walewale. Simba iliyoitoa Nkana si hii ya sasa. Hii huwez kufurukuta.
Ni kweli kabisa Simba hii mechi haitoboi,so sad nadhan baada ya hapa,simba watajitathimini vizuri
Tuna hali ngumu kiasi wanasimba wenzangu,tunapambana Mkude acheze maana ndani ya timu kuna mgogoro mkubwa sana timu imepasuka vipande vipande.
Simba nguvu 0
Ni kichaa tu anaemini mikia yatashinda kesho