Nataka mumpatie jibu mapema...Kama akili zenu hamjashikiwa na Manara.View attachment 568533
Nataka mumpatie jibu mapema...Kama akili zenu hamjashikiwa na Manara.View attachment 568533
Jengo la Ndala FC linakutakia mchana mwema [emoji16] [emoji16]Nataka mumpatie jibu mapema...Kama akili zenu hamjashikiwa na Manara.View attachment 568533
Huyu sasa nae kaongea nini sasa? Jengo la Yanga linauzwa kwa mnada wakati wowote na dalali Msolopa investment company limited namba za simu 0717 436066 ndio tujadili sio huu upuuziNataka mumpatie jibu mapema...Kama akili zenu hamjashikiwa na Manara.View attachment 568533
Kama unataka jibu la mkia shika ukuta utalipa barabaraNataka mumpatie jibu mapema...Kama akili zenu hamjashikiwa na Manara.View attachment 568533
nauliza tu kwani ngao ya jamii inachezwa kati ya bingwa wa ligi na finalist wa FA au kati ya bingwa wa ligi na bingwa wa FA, mwaka jana Yanga likuwa bingwa wa FA na Ligi je ngao ya jamii alicheza Azam ambae alikuwa namba mbili ya ligi na FA pia. so swali ni kuwa sheria zinasemaje ikiwa Bingwa ni mmoja. kama sheria inasema Ngao lazima ichezwe kati ya bingwa wa ligi na mshindi wa pili wa Ligi basi simba wanaweza kutumia kigezo hicho kuingia uwanjani, kama inatakiwa ichezwe na mshindi wa pili wa FA, basi hapo simba itabidi watoe maelezo wakiingiza timu uwanjani.
regards