Simba SC mjibuni Eddo Kumwembe

Simba SC mjibuni Eddo Kumwembe

Mkuu hebu rudia tena hii hesabu halafu uangalie na deni mnalodaiwa. Usianze kuchanganyikiwa mapema
36,000 x 10,000 = 360,000,000 Quod Erat Demostrandum (QED)

Hata ukienda Ulaya wakakufanyie hiyo hesabu, watapata jibu hilo hilo. Bila shaka wewe ni Ngwini, aren't you?

Una swali jingine Mkuu?
 
Nauliza tu kwani ngao ya jamii inachezwa kati ya bingwa wa ligi na finalist wa FA au kati ya bingwa wa ligi na bingwa wa FA, mwaka jana Yanga ilikuwa bingwa wa FA na Ligi je ngao ya jamii alicheza Azam ambae alikuwa namba mbili ya ligi na FA pia.

So swali ni kuwa sheria zinasemaje ikiwa Bingwa ni mmoja. kama sheria inasema Ngao lazima ichezwe kati ya bingwa wa ligi na mshindi wa pili wa Ligi basi simba wanaweza kutumia kigezo hicho kuingia uwanjani, kama inatakiwa ichezwe na mshindi wa pili wa FA, basi hapo simba itabidi watoe maelezo wakiingiza timu uwanjani.

regards
Bangi sio nzuri kwa AFYA yako..... Sasa Simba aingize timu kwa kigezo cha ushindi wa pili kwenye ligi wakati mshindi wa kwanza hawamtambui!!??? Bangi mbaya sana
 
Nawaona watani wanavyoshindwa kujibu hoja sababu ya manara[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Nakwenda_Zimbabwe
 
36,000*10,000= 360,000,000 deni ni milioni 300 na na chenji inabaki... Ungekaa kimya ungeficha ujinga
Wewe ndiyo mjinga, Ngwini Mkubwa! Huna data, kaa kimya tuachie Yanga yetu wenyewe.

Sasa chenji ikibaki kuna shida gani?
 
wameshikiwa akili na huyu mtu hapa
ed.gif
ed.gif
ed.gif
 
Subrn ilo jengo lenu lipigwe mnada ndo mtaacha zarau

Sent using Jamii Forums mobile app
Dharau iko wapi mkuu... Kama Simba walikataa zawadi ya mshindi wa pili wa Ligi na kusema yeye ndiye bingwa... Inakuaje leo akubali kupeleka team uwanjani kucheza na team ambayo haikuingia hata final ya FA?.. Mjibu tu jamaa, hajakosea.

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Edo: "...nadhani..."
Kwa kauli hiyo inaonesha hana uhakika na hilo alisemalo.Hakuna jibu atakalopewa.

The Great Gatsby
 
Back
Top Bottom