don't touch the dial , acha apo apo TBC taifaMo Dewji yupo katika hatua za kutinga mnadani kesho wakati jengo la Yanga litakaponadiwa
Julio ataumiaje na kama anaumia basi ana laana.
Sisi tulitaka Malinzi aendelee na nafasi ile. Aliyepata maumivu ya Mayay kukosa urais ni mwanachama mwenzenu JULIO.
Ndio maana Rage aliwaita MaMBUMBUMBU.Huyu sasa nae kaongea nini sasa? Jengo la Yanga linauzwa kwa mnada wakati wowote na dalali Msolopa investment company limited namba za simu 0717 436066 ndio tujadili sio huu upuuzi
Mbumbumbu fc wana matatizo kweli. Hiyo move ya kuuza jengo la Yanga ni mpango haramu wa kutafuta ushindi nje ya uwanja.Ndio maana Rage aliwaita MaMBUMBUMBU.
Mabingwa watetezi na wa kihistoria wa mara 27 wa LigiKuu Tanzania Bara (walio na kandarasi ya miaka 5 na sportpesa yenye thamani ya Bilioni 5 Tsh) wanashindwaje kulipa Milioni 360 za kitanzania?
Au umemuazimisha Manara akili zako?
Nasikia Mo anataka kulinunua kisha atalibadili rangi kuwa jekundu!
Hulali unamuwaza mmeo simba tu!Ndio maana Rage aliwaita MaMBUMBUMBU.
Mabingwa watetezi na wa kihistoria wa mara 27 wa LigiKuu Tanzania Bara (walio na kandarasi ya miaka 5 na sportpesa yenye thamani ya Bilioni 5 Tsh) wanashindwaje kulipa Milioni 360 za kitanzania?
Au umemuazimisha Manara akili zako?
Mkuu hebu rudia tena hii hesabu halafu uangalie na deni mnalodaiwa. Usianze kuchanganyikiwa mapemaMashabiki 36,000 tu tunaweza kufuta hilo deni kwa kutoa TZS 10,000 tu. Hilo deni kitu gani bhana?