Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
36,000 x 10,000 = 360,000,000 Quod Erat Demostrandum (QED)Mkuu hebu rudia tena hii hesabu halafu uangalie na deni mnalodaiwa. Usianze kuchanganyikiwa mapema
Bangi sio nzuri kwa AFYA yako..... Sasa Simba aingize timu kwa kigezo cha ushindi wa pili kwenye ligi wakati mshindi wa kwanza hawamtambui!!??? Bangi mbaya sanaNauliza tu kwani ngao ya jamii inachezwa kati ya bingwa wa ligi na finalist wa FA au kati ya bingwa wa ligi na bingwa wa FA, mwaka jana Yanga ilikuwa bingwa wa FA na Ligi je ngao ya jamii alicheza Azam ambae alikuwa namba mbili ya ligi na FA pia.
So swali ni kuwa sheria zinasemaje ikiwa Bingwa ni mmoja. kama sheria inasema Ngao lazima ichezwe kati ya bingwa wa ligi na mshindi wa pili wa Ligi basi simba wanaweza kutumia kigezo hicho kuingia uwanjani, kama inatakiwa ichezwe na mshindi wa pili wa FA, basi hapo simba itabidi watoe maelezo wakiingiza timu uwanjani.
regards
36,000*10,000= 360,000,000 deni ni milioni 300 na na chenji inabaki... Ungekaa kimya ungeficha ujingaMkuu hebu rudia tena hii hesabu halafu uangalie na deni mnalodaiwa. Usianze kuchanganyikiwa mapema
Jibu swali kwanzaMo Dewji yupo katika hatua za kutinga mnadani kesho wakati jengo la Yanga litakaponadiwa
Wewe ndiyo mjinga, Ngwini Mkubwa! Huna data, kaa kimya tuachie Yanga yetu wenyewe.36,000*10,000= 360,000,000 deni ni milioni 300 na na chenji inabaki... Ungekaa kimya ungeficha ujinga
Au mnadaiwa na sehemu nyingine tena?Wewe ndiyo mjinga, Ngwini Mkubwa! Huna data, kaa kimya tuachie Yanga yetu wenyewe.
Sasa chenji ikibaki kuna shida gani?
Mataccor mkubwaWewe ndiyo mjinga, Ngwini Mkubwa! Huna data, kaa kimya tuachie Yanga yetu wenyewe.
Sasa chenji ikibaki kuna shida gani?
Umejibu kama?, Pambana na hali yakoNimejibu kwa niaba ya mikia maana majibu haya wanayo ila kuyaweka bayana nafsi zinawasuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Dharau iko wapi mkuu... Kama Simba walikataa zawadi ya mshindi wa pili wa Ligi na kusema yeye ndiye bingwa... Inakuaje leo akubali kupeleka team uwanjani kucheza na team ambayo haikuingia hata final ya FA?.. Mjibu tu jamaa, hajakosea.
Ndiyo, tumehamisha deni kwenda kwingine kama vile ninyi mnavyodaiwa na Rage na wale Jamaa walioko Sello.Au mnadaiwa na sehemu nyingine tena?