Simba SC Mkitaka Kuwa Mabingwa Msimu Huu Mfukuzeni Pablo, Mpeni timu Matola

Simba SC Mkitaka Kuwa Mabingwa Msimu Huu Mfukuzeni Pablo, Mpeni timu Matola

Sioni mchango wowote wa Matola kama kocha msaidizi wa Simba SC, anatakiwa afukuzwe haraka sana sambamba na kocha mkuu.
Matola ndio sababu kuu ya nyinyi kupoteza Ubingwa.
 
Kajitoa siku naona kelele za GSM zimepungua, zimebaki za miamala,nawakumbusha kwa hali mnayoenda nayo ya mbeleko andaeni fungu na kwenye shirikisho CAF.
kushneyyy babu jiiii 😹😹😹😹

BE625EEF-17EF-4480-B602-A00B67C04972.jpeg
 
si tulikubaliana gsm ana pesa chafu kuliko mudi imekuwaje sasa

View attachment 2111451
Tumeona mmetuonyesha nyinyi mna hela za kusajili wachezaji wakubwa, mnawalipa mishahara mizuri huku mkiandaa miamala ila mambo yenu yaende vizuri nje ya uwanja. Sio siri mmefanya uwekezaji mkubwa upande wa miamala hilo nawapongeza na tunaona fungu la miamala linavyo fanya kazi.
 
Naunga mkono hoja ila na ww kama uliweza kuwaandikia Azam barua ya kutia mchanga kibarua cha Cheche,kwa nn usifanye hivyo kwa Thimba ili wamtimue huyo Matola? Utakapoaandika hiyo barua usisahau tu kuonggeza fact 2. 1. Boko na Mugalu waachwe na 2. Wasajiri mfungaji wa maana kwa Maana ligi letu ni kubwa kwa sasa. Kila timu kwa sasa inawachezaji wa kuchezea Thimba ba Nyanga so lazima walione hili
Inawezekana hata na Mkwasa alimsagia kunguni yeye

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Tumeona mmetuonyesha nyinyi mna hela za kusajili wachezaji wakubwa, mnawalipa mishahara mizuri huku mkiandaa miamala ila mambo yenu yaende vizuri nje ya uwanja. Sio siri mmefanya uwekezaji mkubwa upande wa miamala hilo nawapongeza na tunaona fungu la miamala linavyo fanya kazi.
ukibebwa bebeka sio jsm wenu analilia kwenye media anasusa haya susaaaaa
na
 
Madoctor wa utopolo wakiwa kazini.

Hizi elimu zenu mbona zibawafanya kuwa wambea na machawa sana?

Imagine mwanaume mzima eti unashabikia yanga?!!Kisa ina nguo za njan!!!
MKITAKA UBINGWA FANYENI HIVI.

Nimesikia mazungumzo kibao kuhusu Matarajio ya Simba SC kutwaa ndoo msimu huu. Cha kushangaza zaidi hakuna anaye fahamu nini kifanyike ili muwe tishio katika mbio za Ubingwa wa msimu 2021/22.

Ushauri wangu kwenu ni kumtawaza Selemani MATOLA awe Kocha mkuu wa klabu au Kumfukuza mapema iwezekanavyo kabla hamjachelewa.

WHY?

Selemani MATOLA ndiyo mwenye kuongoza hujuma, figisu na chokochoko dhidi ya Timu akiwa na lengo kuu la kuhakikisha matokeo mabaya yanapatikana ili yapelekee kufukuzwa kwa Pablo.

Njama zake ni za siri mno hata baadhi ya viongozi wenu hawana uwezo wa kuamini hilo.

Tamaa yake kubwa ni kuweka Ufalme wake katika nafasi ya ukocha katika Klabu yenu. Baada ya kuona nafasi hiyo ni ngumu kuipata kiurahisi, sasa anapanga kuuonyesha Uongozi wenu kuwa makocha wazungu (Aussems, Da rosa, na Pablo) hawana uwezo wa kuifikisha mbali klabu.

Bila kujua. Hizo figisu zake zinashusha morali ya utendaji wa wachezaji haswa wale wazawa.

Hakikisheni mnampa timu haraka sana, kama itashindikana mfukuzeni kabisa kwenye benchi ufundi.

Narudia tena.

"Matumaini yenu ya ubingwa wa msimu huu yako katika kilindi cha Moyo wake ulio jawa na tamaa za kutaka kuwa Kocha mkuu wa Simba"

FORM ALIYONAYO YANGA SC

Kwa Yanga SC hii iliyoko kwenye form, nina uhakika matokeo mabaya kwake ni sare tu. Hivyo itawapasa kutoa sare mechi 4 ili kufikiwa alama na SimbaSC. Na wakati huo huo Simba SC ina kibarua cha kushinda mechi zake zote.

Je kwa hali iliyo ndani ya bench la ufundi la SIMBA SC unadhani inawezekana? Si rahisi.

KUMBUKIZI
Nakumbuka niliwahi kuiandikia barua AZAM FC iliyotaka imuondoe Iddi CHECHE kwenye bench lao la ufundi. Jambo jema ni kwamba wakatii.

Tamaa ile ile aliyokuwa nayo Cheche, sasa imeamia kwa Matola.

Matola ataitafuna klabu yenu chini kwa chini mpaka mkija kushtua Mnakuta YANGA SC Katwaa ndoo za ligi mara 3 mfululizo.

-Asiye Sikia la Mkuu...
 
Back
Top Bottom