Simba SC Mmepigwa Parefu. Kifua Hakiuzwi Kwa Miaka 5

haya jifute mavi uvae pempas usije kukera watu na mavi yako.
 
Simba kila kitu tunakuwa mfano kwa vilabu vya pombe na ulanzi kama Yanga..

Lazima Simba ifanye wao ndo waige na ukweli ni kwamba bila simba Yanga haiwezi kusimama kwa lolote..

Mwaka huu Sportpesa alitaka aigawe hiyo B 12.1 kwa simba na yanga. Ila baada ya simba kugoma kuendelea na mkataba bas kwa hasira wakaweka hela yote ya budget kwa Yanga kitu ambacho walijua labda wanamkomoa Simba..


Ila baada ya Simba kutangaza dau walioweka M Bet ndo watu wanapata mhaho kama huyu ndugu.

Ila lazima muishukuru club ya simba kwa kuachana na sportpesa angalau bas hata nyie mmeweza kupata ata hizo B 12.1 mana imekuwa pesa ya ndoto yenu.

Jibu ni kwamba namna pekee ya kuilinganisha Simba na Yanga ni kwa vile tu zote zipo Tanzania ila kiuhalisia kwenye suala la Creativity, Mafanikio, wafuasi, Akili, Uongozi na Marketing ili yanga waifikie simba kwenye hizi aspects ni baada ya miaka 10
 
1. Team viewer na Man united ni miaka mitano sponsorship.
2. Fly Emirates na Real Madrid ni miaka mitano sponsorship.
3. Ziggo na Ajax ni Miaka mitano Sponsorship.

4.Samsung na Chelsea ilikuwa miaka mitano sponsorship

5. Fly emirates na Arsenal ilianza tangu hujazaliwa mpaka sasa.

6. Etihad Airways na Man city huu ni mwaka wa Nane.


Hizo nchi zilizoendelea unazozungumzia ni pale Jangwani au Salamander Towers ???
 
Mmepigwa binge la chenga, mlidanganywa Simba kasaini Kwa bilioni 3 Kwa mwaka.mliposaini Kwa bilioni 4 mkapiga kelele Leo Simba kaweka vitu hadharani mnaanza kubweka hovyo
 
Samahani blaza utopolo hv arsenal na fly emirates au man city na etihad air ways wana mda gani pale kifuani???ukijibu nitag[emoji12]

Byuti byuti
 
Pole sana! Jamaa anakaba hadi penati, hakuna cha CEO wala nani, kila kitu yeye. Senzo akaona isiwe taabu!

View attachment 2311210

Si ndo rais sasa??????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we umemuona bwana hasan bumbuli kwenye kamati ya maandalizi ya siku yao...na yule ni msemaji mjue ila hayupo ...afu bado wanasema yanga ni ya wananchi[emoji854]
 
Mmepigwa binge la chenga, mlidanganywa Simba kasaini Kwa bilioni 3 Kwa mwaka.mliposaini Kwa bilioni 4 mkapiga kelele Leo Simba kaweka vitu hadharani mnaanza kubweka hovyo
Soma hii halafu uje utuambie kama moyo wako ulikuwa na huzuni tangu mwaka 2017, maana mkataba ulioisha wa Yanga na SportPesa ulikuwa wa miaka mitano

View attachment 2311188
Hapo anajionyesha kabisa yeye ni mwanachama wa yanga maana tuliambiwa huko wenye akili ni wawili
 
Wewe achana na Simba itakuua bure nilifikiri ulikjfunza kwenye issues ya Sakho kumbe wewe ndio aliosema Eymael
 
Man u na teamviewer ni miaka mi5, wale chevloret sijui miaka 7 arsenal na dreamcast, arsenal na Emirates, intermillan na pirelli, madrid Emirates bado na Siemens, chelsea na yokohama na wenhine weengi.
Mkuu
Mleta Mada Kala Maharage Ya Wapi
 
Mkuu usisumbuke sana, Toka lini Makolo wakawa na akili nchi hii..?
Waache waendelee kujipiga kitanzi
 
Hoja ingelikuwa nzuri kama ungetoa mifano ya vilabu angalau viwili vinavyoonesha havijawahi kuwa na mikataba ya miaka mitano. Hapo TIngeelewa!

"Manchester United have secured a five-year shirt sponsorship deal with global technology company TeamViewer with sources telling ESPN" Hapo veeepee?
 
Mjinga lazima ajibiwe kijinga hakuna jinsi nyingine
Hata maandiko yanasema mpumbavu atendewe kwa kadri ya upumbavu wake, usiogope.

Mjinga anakuja na uzi wa kishabiki hajui chochote kuhusu mikataba ya timu hafai kuachwa apotoshe.
 
Mkataba wa Simba ni 12.5 b kwa miaka 5 kinachoendelea ni ileile michezo wa 20b kwenye makaratasi.
Kuna zile process za binadamu kujiaminisha uongo zipo proved scientifically
Kuna stages wewe sasa hivi upo kwenye denial
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…