Simba SC Mmepigwa Parefu. Kifua Hakiuzwi Kwa Miaka 5

Simba SC Mmepigwa Parefu. Kifua Hakiuzwi Kwa Miaka 5

Ujue umeandika kitu kizuri sema inaitaji mtu mwenye elimu ya Finance and investment kubwa kuweza kuelewa kuwa Kuuza au kupangisha kifua kwa miaka 5 wakati thamani za hizi Club zinapanda kwa haraka sana ni ujinga… wewe jiulize kama last year walikuwa wanapokea 3 billion alafu baada muda mfupi thamani imepata mpaka 4 to 5b basi jua baada ya miaka miwili thamani inaweza panda kuanzia 6 to 8B bcz thamani ya mpira wa bongo unaongezeka kwa haraka sana Kama Simba na Yanga wananunua wachezaji bora kutoka Zambia na Congo na Ivory coast tujue soon thamani za hizi club zinaweza kufika 6 to 8B per year ndani ya miaka 2 au 3 ijayo… Simba hapa mmepigwa na Muhindi… 5B kwa mwaka kwa sasa zuri lakini sio kwa miaka 5 angalau miaka 3 hapo sawa…
 
Mkuu usisumbuke sana, Toka lini Makolo wakawa na akili nchi hii..?
Waache waendelee kujipiga kitanzi
.
20220725_223054.jpg
 
Samahani blaza utopolo hv arsenal na fly emirates au man city na etihad air ways wana mda gani pale kifuani???ukijibu nitag[emoji12]

Byuti byuti
Wako dunia tofauti na yetu sisi.

Ndio maana hata mauzo ya jezi huku kwetu yana upenyumbi.
 
Moyo wangu umejaa huzuni na sononeko la hali ya juu baaada ya kuona watani zangu wanakosa mtu sahihi wa kukamilisha madili kwa manufaa ya klabu.

Kwa nchi zinazoendelea huwa kuuza "chest rights" (haki za kifuani) kwa mdhamini tena kwa mda wa miaka 5.

Mnajinyima fursa ya kupata madili ya juu zaidi katika siku za usoni.

Yaani hata kama baada ya miaka 3 akitokea potential sponsor anayetaka kuweka mpunga mrefu kwenye jezi inabidi asubiri mpaka mkataba mrefu uishe.

Kwani mliona wenzenu wajinga wallipo mpa SportPesa miaka 3?

Yes. Wamefanya hivyo kwa lengo la kutoa mwanya wa investors wengine wenye dau la juu wataojitokeza wakati wowoote hivi kaaribuni.

Wenzenu wana akili sana. Hawajakodisha shamba kwa mda mrefu.

Dah. Mmeniangusha sana watani.
Bilion 26.1. Karibu.
 
Moyo wangu umejaa huzuni na sononeko la hali ya juu baaada ya kuona watani zangu wanakosa mtu sahihi wa kukamilisha madili kwa manufaa ya klabu.

Kwa nchi zinazoendelea huwa kuuza "chest rights" (haki za kifuani) kwa mdhamini tena kwa mda wa miaka 5.

Mnajinyima fursa ya kupata madili ya juu zaidi katika siku za usoni.

Yaani hata kama baada ya miaka 3 akitokea potential sponsor anayetaka kuweka mpunga mrefu kwenye jezi inabidi asubiri mpaka mkataba mrefu uishe.

Kwani mliona wenzenu wajinga wallipo mpa SportPesa miaka 3?

Yes. Wamefanya hivyo kwa lengo la kutoa mwanya wa investors wengine wenye dau la juu wataojitokeza wakati wowoote hivi kaaribuni.

Wenzenu wana akili sana. Hawajakodisha shamba kwa mda mrefu.

Dah. Mmeniangusha sana watani.
Kila uchao unazidi kuthibitisha umajununi wako.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Moyo wangu umejaa huzuni na sononeko la hali ya juu baaada ya kuona watani zangu wanakosa mtu sahihi wa kukamilisha madili kwa manufaa ya klabu.

Kwa nchi zinazoendelea huwa kuuza "chest rights" (haki za kifuani) kwa mdhamini tena kwa mda wa miaka 5.

Mnajinyima fursa ya kupata madili ya juu zaidi katika siku za usoni.

Yaani hata kama baada ya miaka 3 akitokea potential sponsor anayetaka kuweka mpunga mrefu kwenye jezi inabidi asubiri mpaka mkataba mrefu uishe.

Kwani mliona wenzenu wajinga wallipo mpa SportPesa miaka 3?

Yes. Wamefanya hivyo kwa lengo la kutoa mwanya wa investors wengine wenye dau la juu wataojitokeza wakati wowoote hivi kaaribuni.

Wenzenu wana akili sana. Hawajakodisha shamba kwa mda mrefu.

Dah. Mmeniangusha sana watani.
Kwa hiyo unataka nini sasa?
 
Back
Top Bottom