Simba SC 'mnatudharau' sana 'Mashabiki' wenu yaani tunasubiri 'Vyuma' vya maana kumbe mnatushushia 'Garasa' Habib Kiyombo?

Simba SC 'mnatudharau' sana 'Mashabiki' wenu yaani tunasubiri 'Vyuma' vya maana kumbe mnatushushia 'Garasa' Habib Kiyombo?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Sasa Habib Kiyombo ana tofauti gani ya Uwezo mdogo kama alionao Yusuf Mhilu? Nani Kawarogeni mpaka leo hii Simba SC ina 'Scouting Team' ya hovyo hivi?

Hivi kwanini Viongozi wa Simba SC mnapenda kutufanya Sisi Mashabiki wa Simba SC kuwa ni Madunduna ( Wapumbavu ) sana na labda mnadhani kuwa Wengine hatujawahi Kucheza Mpira au hatuhujui pia?

Mchezaji Habib Kiyombo ana Hadhi ya Kuichezea Simba SC ambayo inataka kurejesha Heshima na Makali yake na Msimu wa CAFCL ifike Nusu Fainali?

Tuwashaurini vipi ili mtuelewe nyie?
 
Ww mbumbu hujui usajiri ni pesa na kanjibai ni kama amesusia timu
Mkiambiwa mchangie bil 2 ya usajiri mtaweza wkt mlichanga mil 40 kwa miezi 6 ya ujenzi wa uwanja
Ndo pesa inaruhusu kusajiri wachezaji wa mil 100 hakuna namna

TUSITEGEMEE MSIMU UJAO MADAI YA GSM KUNUNUA MECHI SASA MAANA TAYARI MMESHATEPETA MPAKA MUDA HUU kuku ww mambumbu ya rage mtajua hamjui.😬😬😬😬😬😬😬😁😁😁😁😁😁😬😬😬😬😬😬😬😬
 
Ww mbumbu hujui usajiri ni pesa na kanjibai ni kama amesusia timu
Mkiambiwa mchangie bil 2 ya usajiri mtaweza wkt mlichanga mil 40 kwa miezi 6 ya ujenzi wa uwanja
Ndo pesa inaruhusu kusajiri wachezaji wa mil 100 hakuna namna

TUSITEGEMEE MSIMU UJAO MADAI YA GSM KUNUNUA MECHI SASA MAANA TAYARI MMESHATEPETA MPAKA MUDA HUU kuku ww mambumbu ya rage mtajua hamjui.😬😬😬😬😬😬😬😁😁😁😁😁😁😬😬😬😬😬😬😬😬
Umeandika ujinga sana kwa kweli.... Mara mill 40 mara GSM, unajisahaulisha tu ndani ya siku 7 ni Simba walioweza kujusanya milioni 100 huku yanga wakikusanya milioni 44 tu.
 
Umeandika ujinga sana kwa kweli.... Mara mill 40 mara GSM, unajisahaulisha tu ndani ya siku 7 ni Simba walioweza kujusanya milioni 100 huku yanga wakikusanya milioni 44 tu.
Halafu yanga walipojutoa mkashindwa kukusanya mia zngn ndani ya siku 7 au siyo?

Niambie toka yanga wamejitoa mlikusanya ngapi mpk zoezi mmelifunga. Nataka zile za baada ya yanga kujitoa si mliendelea.
 
Umeandika ujinga sana kwa kweli.... Mara mill 40 mara GSM, unajisahaulisha tu ndani ya siku 7 ni Simba walioweza kujusanya milioni 100 huku yanga wakikusanya milioni 44 tu.
Mbumbu ww tahira jibu huko
 
Halafu yanga walipojutoa mkashindwa kukusanya mia zngn ndani ya siku 7 au siyo?

Niambie toka yanga wamejitoa mlikusanya ngapi mpk zoezi mmelifunga. Nataka zile za baada ya yanga kujitoa si mliendelea.
Unazidi kuandika ujinga
 
Simba walitaka kutuondoa kwenye issue ya Uanga.
Kiufupi wameharibu,

Wajifunze kuacha wenzao wafanye jambo lao, wakimaliza na wao wafanye
Umesema ukweli mtupu tu Ndugu.
 
Umejaa wenge sana.

Kyombo kwa record yake ya ufungaji msimu uliopita anaonekana ni mmojawapo wa strikers wazuri waliokuwepo wa ndani ukimuacha G. Mpole.

Ni mzuri wa kufunga akiwa ndani ya box, nje ya box, anafunga kwa free kicks, na moja nimeona amefunga kwa kisigino, zaidi alishawafunga hadi utopolo.

Zaidi ya hapo, bado Simba SC hawajamaliza, wanaenda Nigeria kuchukua kifaa toka Rivers Utd, mshambuliaji wao tegemeo ambaye pia ndie captain wao, kilichobaki ni kutuma mkataba na pesa, maongezi yote tayari.

Next season magoli Simba hayawezi kuwa tatizo, ni kina Chama wafanye kazi yao tu, kuwawalisha wafungaji.

Phiri + Kayombo + Okwa = Simba wanajua wanachofanya.
 
Umejaa wenge sana.

Kyombo kwa record yake ya ufungaji msimu uliopita anaonekana ni mmojawapo wa strikers wazuri waliokuwepo wa ndani ukimuacha G. Mpole.

Ni mzuri wa kufunga akiwa ndani ya box, nje ya box, anafunga kwa free kicks, na moja nimeona amefunga kwa kisigino, zaidi alishawafunga hadi utopolo.

Zaidi ya hapo, bado Simba SC hawajamaliza, wanaenda Nigeria kuchukua kifaa toka Rivers Utd, mshambuliaji wao tegemeo ambaye pia ndie captain wao, kilichobaki ni kutuma mkataba na pesa, maongezi yote tayari.

Next season magoli Simba hayawezi kuwa tatizo, ni kina Chama wafanye kazi yao tu, kuwawalisha wafungaji.

Phiri + Kayombo + Okwa = Simba wanajua wanachofanya.
Mnasajiri mdomoni halafu mje kusema GSM ananunuwa mechi.
 
Umejaa wenge sana.

Kyombo kwa record yake ya ufungaji msimu uliopita anaonekana ni mmojawapo wa strikers wazuri waliokuwepo wa ndani ukimuacha G. Mpole.

Ni mzuri wa kufunga akiwa ndani ya box, nje ya box, anafunga kwa free kicks, na moja nimeona amefunga kwa kisigino, zaidi alishawafunga hadi utopolo.

Zaidi ya hapo, bado Simba SC hawajamaliza, wanaenda Nigeria kuchukua kifaa toka Rivers Utd, mshambuliaji wao tegemeo ambaye pia ndie captain wao, kilichobaki ni kutuma mkataba na pesa, maongezi yote tayari.

Next season magoli Simba hayawezi kuwa tatizo, ni kina Chama wafanye kazi yao tu, kuwawalisha wafungaji.

Phiri + Kayombo + Okwa = Simba wanajua wanachofanya.
Kumbe amesajiliwa sababu alishawafunga yanga?
 
Umeandika ujinga sana kwa kweli.... Mara mill 40 mara GSM, unajisahaulisha tu ndani ya siku 7 ni Simba walioweza kujusanya milioni 100 huku yanga wakikusanya milioni 44 tu.
We ndo mbulula wa kwanza kabisa. Yaani mnatapeliwa na Bakhressa mnajisifia?

Yanga tunachangia timu moja kwa moja, sio kupitia kwa Bakhressa. We unaambiwa eti mmechanga milioni 100 na wewe unakubali... dah kweli kolo ni kolo tu!
 
Umejaa wenge sana.

Kyombo kwa record yake ya ufungaji msimu uliopita anaonekana ni mmojawapo wa strikers wazuri waliokuwepo wa ndani ukimuacha G. Mpole.

Ni mzuri wa kufunga akiwa ndani ya box, nje ya box, anafunga kwa free kicks, na moja nimeona amefunga kwa kisigino, zaidi alishawafunga hadi utopolo.

Zaidi ya hapo, bado Simba SC hawajamaliza, wanaenda Nigeria kuchukua kifaa toka Rivers Utd, mshambuliaji wao tegemeo ambaye pia ndie captain wao, kilichobaki ni kutuma mkataba na pesa, maongezi yote tayari.

Next season magoli Simba hayawezi kuwa tatizo, ni kina Chama wafanye kazi yao tu, kuwawalisha wafungaji.

Phiri + Kayombo + Okwa = Simba wanajua wanachofanya.
pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

“Asilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
Back
Top Bottom