Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Mnaenda kucheza na Professional players ambao they can make a difference popote na muda wowote.
Mambo ya kwa mkapa hatoki mtu, sio agenda tena kama ilivyokuwa kwa RAJA de Casablanca.
Nimeongea na Percy jioni hii ambaye ni rafiki yangu wa karibu sana tangu nipo nae SA, ameniambia kwamba wao wamekuja kushinda hivyo SSC icheze mpira na wao wacheze Mpira mwenye uwezo na quality ataondoka na Mpira.
Kesho ndio kesho, Ahly analitaka kombe sio kwa sababu ya fedha, bali kwa sababu ya Historia.
Naiona ile picha ya Hamza wa Raja Casablanca pale Lupaso ikihamia kwa Ashraf na Percy.
All the best SSC
Mambo ya kwa mkapa hatoki mtu, sio agenda tena kama ilivyokuwa kwa RAJA de Casablanca.
Nimeongea na Percy jioni hii ambaye ni rafiki yangu wa karibu sana tangu nipo nae SA, ameniambia kwamba wao wamekuja kushinda hivyo SSC icheze mpira na wao wacheze Mpira mwenye uwezo na quality ataondoka na Mpira.
Kesho ndio kesho, Ahly analitaka kombe sio kwa sababu ya fedha, bali kwa sababu ya Historia.
Naiona ile picha ya Hamza wa Raja Casablanca pale Lupaso ikihamia kwa Ashraf na Percy.
All the best SSC