Simba SC, Mo Dewji na CEO Barbara nawaomba msimjibu lolote (chochote) aliyekuwa Msemaji 'Mnafiki' Haji Manara, ila mtuachie Mashabiki

Simba SC, Mo Dewji na CEO Barbara nawaomba msimjibu lolote (chochote) aliyekuwa Msemaji 'Mnafiki' Haji Manara, ila mtuachie Mashabiki

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Press yake ya leo ni ya "Kimkakati' ya Kuichafua Klabu ya Simba baada ya Kutumwa na Maadui zetu wakubwa wa Jangwani na Chamanzi.

Nimemsikiliza Hoja zake zote na hakuna jipya sana sana ameshatuhakikishia ni kwanini ana udhaifu mkubwa wa Wanaume wengi wa Pemba, Lamu na Mombasa.

Kayakanyaga hivyo awe Mvumilivu mno.
 
Ametumwa kuharibu focus na concentration ya usajili wetu makini. Ignore him completely. Tuko kwenye usajili na maandalizi ya msimu mpya.

Kaongea story za zamaaniiii za nini sasa, awape haohao mabingwa wa kihistoria ndo wanapendaga hizo mambo.
 
Press yake ya leo ni ya "Kimkakati' ya Kuichafua Klabu ya Simba baada ya Kutumwa na Maadui zetu wakubwa wa Jangwani na Chamanzi.

Nimemsikiliza Hoja zake zote na hakuna jipya sana sana ameshatuhakikishia ni kwanini ana udhaifu mkubwa wa Wanaume wengi wa Pemba, Lamu na Mombasa.

Kayakanyaga hivyo awe Mvumilivu mno.
Umesahau Mwamedi alipotekwa alivalishwa kanga laini ya Mombasa?
 
Hahahahahah
Ngoja tuanze nae huyo maana anania mbaya.
Asili ya ukweli huwa haijifichi na ukweli hata ukipuuzwa ukaa na kukumbukwa kwe wenye vichwa vya wenye hekima. Lkn uongo hupepea baada ya kumaliza kazi iliokusudiwa kwa uonho huwo.
Sasa manala anaonekana ni mtu wa namna gani baada ya kuongea machache yake aliosema mwenyewe. Mfano anadai waliofukuzwa simba wamefungwa kwa nn akulizungumza hili na yeye ndie aliepinga taarifa za waliofukuzwa wakati wakizungumzia mkataba aliousema manala kuwa anao?

Lkn pia manala huyu huyu ndio aliemchafua senzo kama msaliti namba moja rejea press yake kwenye mechi ya aly ahal.

Anasema alikuwa anajigaramia.kwa.kila kitu lkn kabla ya kukataa ajasema na zile fine alizokuwa anapigwa na TFF nani alikuwa anamlipia?

Manara press ya leo anakuwa ni kama anagombanisha simba na azam au anagombanisha MO na azam kwa uchonganishi huu wa jicho la tatu manala kajionesha uhalisia wake.
 
Anayoyasema Hajis Manara club isipotolea ufafanuzi basi tutajua ni ukweli mtupu 100%

Kubalance story inabidi tusikilize upande wa pili

Acha mvua inyeshe tujue panapovuja

Hata na hivyo mtu akitoneshwa kwenye mshono na kitu kizito chenye ncha kali hali huwa mbaya
 
Press yake ya leo ni ya "Kimkakati' ya Kuichafua Klabu ya Simba baada ya Kutumwa na Maadui zetu wakubwa wa Jangwani na Chamanzi.

Nimemsikiliza Hoja zake zote na hakuna jipya sana sana ameshatuhakikishia ni kwanini ana udhaifu mkubwa wa Wanaume wengi wa Pemba, Lamu na Mombasa.

Kayakanyaga hivyo awe Mvumilivu mno.
Mo aseme ni faida kiasi gani anapata kwa matangazo ya bidhaa zake kwenye jezi ya Simba
 
Back
Top Bottom