Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu endelea na mambo mengine yanayokupasa kufanya...Kumbe unadiscuss nn sasa
Manara kahusika kwa zaidi ya 30% mafanikio ya simba kwa misimu minne mfululizo, why nisimuamini ikiwa alikuwa mtu wa ndani wa klabu?Ivi wewe kama unaakili unaweza amini maneno ya haji? MO atoke tumuachie tema manara
Mfuate sasaManara kahusika kwa zaidi ya 30% mafanikio ya simba kwa misimu minne mfululizo, why nisimuamini ikiwa alikuwa mtu wa ndani wa klabu?
Ushabiki na mapenzi usikuondoe akili na fikra chanya,mkuu kumbuka to be a man it's all about heart and brain.Press yake ya leo ni ya "Kimkakati' ya Kuichafua Klabu ya Simba baada ya Kutumwa na Maadui zetu wakubwa wa Jangwani na Chamanzi.
Nimemsikiliza Hoja zake zote na hakuna jipya sana sana ameshatuhakikishia ni kwanini ana udhaifu mkubwa wa Wanaume wengi wa Pemba, Lamu na Mombasa.
Kayakanyaga hivyo awe Mvumilivu mno.
Umejiunga JF 2010 lakini michango yako humu inaonyesha jinsi gani ulivyo mzigo!Mfuate sasa
Mfuate manara acha mbwembweUmejiunga JF 2010 lakini michango yako humu inaonyesha jinsi gani ulivyo mzigo!
Umejiunga JF 2010 lakini michango yako humu inaonyesha jinsi gani ulivyo mzigo!
Kwahiyo mtu kusema michezo michafu inayoendelea klabuni ni kuichafua?Lengo hasa la press ya Haji Manara lilikuwa ni lipi??
Kuichafua Simba sc Tanzania?...
Mikia mnamkata nani tena ili msajili 🤣,banda nafasi ya chikwede mkopo,mkateni kagere basi muone moto wake 🤣Ametumwa kuharibu focus na concentration ya usajili wetu makini. Ignore him completely. Tuko kwenye usajili na maandalizi ya msimu mpya.
Kaongea story za zamaaniiii za nini sasa, awape haohao mabingwa wa kihistoria ndo wanapendaga hizo mambo.
Simba haiwezi kujibu ujinga wa manara, mashabiki tutamjibu kwa kumpuza
Nendeni mkashitaki CAS ili Mo anyang'anywe hizo hisa.Mo aseme ni faida kiasi gani anapata kwa matangazo ya bidhaa zake kwenye jezi ya Simba
Kwa ujumla wake lengo ni kuichafua Simba.Lengo hasa la press ya Haji Manara lilikuwa ni lipi??
Kuichafua Simba sc Tanzania?...
Haji kaongea ukweli mtupu maana tulikuwa tunaongea humu kwamba uyu mo anaifanya simba kuwa ya familia yake mnabisha, wewe utasemaje upati faida kwenye timu miaka yote 4?Press yake ya leo ni ya "Kimkakati' ya Kuichafua Klabu ya Simba baada ya Kutumwa na Maadui zetu wakubwa wa Jangwani na Chamanzi.
Nimemsikiliza Hoja zake zote na hakuna jipya sana sana ameshatuhakikishia ni kwanini ana udhaifu mkubwa wa Wanaume wengi wa Pemba, Lamu na Mombasa.
Kayakanyaga hivyo awe Mvumilivu mno.
Naomba ninukuu masawali yafuatayo ambayo ameyauliza Penison hapo juuKama hata anachosema leo Manara kitaendelea kuonekana kuwa ni unafiki au anataka kuharibia tu team au watu fulani ndani ya Simba, basi kuna kila dalili kuwa ndani ya Simba kuna malaika watu ambao hawakosei ,kuna kila dlili ndani ya simba kuna watu hawapaswi kusemwa vibaya hata kama wanaowasema vibaya ni watu wanaojua mabaya yao...