Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Hiyo fainali yenu ilikuwa sio fainali ya caf champions league Bali ilikuwa fainali ya abajalo cup kombe lililodhaminiwa na tajiri wa Nigeria.Historia gani? Acha bange.....
Hapo UHURU imeshapigwa fainali ya CAF CUP
Hapo UHURU imeshapigwa nusu fainali ya KLABU BINGWA AFRIKA CAFCL.....sio shirikisho ni KLABU BINGWA AFRIKA wanaume wameubonda hapo,
NA NI SIMBA SC NDIO WAMEFANYA HAYA YOTE,
Kiufupi ni kwamba
SIMBA SC IMEANDIKA HISTORIA KUBWA ,MAFANIKIO MAKUBWA NA KUITANGAZA HII NCHI KUPITIA SOKA KULIKO VITIMU VYOTE NCHINI,
UNATAKA HIVYO
HUTAKI HIVYO.View attachment 2617719View attachment 2617721
Endelea kurukaruka ndio kuiva kwa maharage