Simba SC msitishwe na wala msidanganywe achaneni na Jean Baleke kwani hakuna Mshambuliaji hapo

Simba SC msitishwe na wala msidanganywe achaneni na Jean Baleke kwani hakuna Mshambuliaji hapo

wacha uongo wewe dogo
Baleke huyu hapa na mjumbe wa bodi

asha baraka,

simba is a joke 🚮

1718050897474.png
 
Baleke huyu hapa na mjumbe wa bodi

asha baraka,

simba is a joke 🚮

View attachment 3014107
sasa asipige picha na maza? Au kama yuko likizo asije kutazama timu yake anayoipenda? Mbona kale ka morrison kutwa kanazurura yanga....msimpangie mtu vakesheni zake...tayari ushakonkludi ila wabongo bana...
 
Back
Top Bottom