Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Simba SC na AS Vita ya DRC Kesho 03.04.2021 saa 10 jioni
Ifikapo kesho saa 10 jioni pale uwanja mkubwa wa soka Tanzania maarufu kwa Mkapa kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya wawakilishi wa Tanzania ligi ya Mabingwa Simba SC na AS Vita ya DRC.
CAF imeruhusu mashabiki 10,000 kuingia uwanjani. Hawa ni watu wengi sana kukaa sehemu moja na wanatosha kuipa hamasa timu mwakilishi wetu. Lakini kumbukeni kuna zuio la Polisi kuhusu shamrashamra. Je, Simba wakifunga kesho tukae kimya? Tushangilie kimoyomoyo?
Polisi tunaomba ufafanuzi tusije ishia mahabusi watu 10000.
Ifikapo kesho saa 10 jioni pale uwanja mkubwa wa soka Tanzania maarufu kwa Mkapa kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya wawakilishi wa Tanzania ligi ya Mabingwa Simba SC na AS Vita ya DRC.
CAF imeruhusu mashabiki 10,000 kuingia uwanjani. Hawa ni watu wengi sana kukaa sehemu moja na wanatosha kuipa hamasa timu mwakilishi wetu. Lakini kumbukeni kuna zuio la Polisi kuhusu shamrashamra. Je, Simba wakifunga kesho tukae kimya? Tushangilie kimoyomoyo?
Polisi tunaomba ufafanuzi tusije ishia mahabusi watu 10000.