Yaani mmecheza na timu mbovu kwenye kundi halafu unasifia kuwa imecheza vizuri. Haaahaaahaaa.Kwa Simba hii ya ilivyocheza leo naiona robo fainali kwa point 11 mbele ya asec ambayo itakuwa na point 10
Mark my words
Timu ikifungwa zina anza habari za Mangungu akishinda hasifiwiWapuuzi pale simba ni wawili tu: try again na mangungo. Simba fanyeni jambo kwa hawa wapuuzi.
Belouzedad iliondoa mvuto amaYaan mi niliona wamekutana wa level moja ,ndipo nikagundua kwamba Yanga ni timu inayocheza vizur Sana na kufuraisha na yenye mvuto[emoji23][emoji23]
Kwasababu ninyi ni mambumbu kwa mujibu wa mwenyekiti rage akiwa madarakaniTumeshapoteza mechi muhimu kwa uzembe wa wachezaji.
Tangu msimu uliopita dirisha ndogo tunaletewa ujanja ujanja kwenye usajili mara Manzoki, wakamleta Baleke, Onana asiye na lolote,unamrudisha miqusion kanenepa hata hawaangilii mwili wanamrudisha tu, chama ndo huyo akikimbia kama baiskeli inashikwa breki na kuachiwa kidogo.
Mechi mbili za mwisho kwenye ligi hadi leo hatujashinda ni draw tu. Halafu mechi ijayo Ahmed Ally anaanza "wanasimbaa tujaze uwanja hatujazoea kucheza bila nye" .
Viongozi wa simba kwenye usajili ni wapuuzi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nye wenye akili ni wawili wengine vilazaKwasababu ninyi ni mambumbu kwa mujibu wa mwenyekiti rage akiwa madarakani
Aliyewaiteni ninyi mbumbumbu alikuwa mwanachama wa simba na pia mwenyekit je huyo manara alipokiyaongea hayo alikuwa nani pale yanga?
Tumeshapoteza mechi muhimu kwa uzembe wa wachezaji.
Tangu msimu uliopita dirisha ndogo tunaletewa ujanja ujanja kwenye usajili mara Manzoki, wakamleta Baleke, Onana asiye na lolote,unamrudisha miqusion kanenepa hata hawaangilii mwili wanamrudisha tu, chama ndo huyo akikimbia kama baiskeli inashikwa breki na kuachiwa kidogo.
Mechi mbili za mwisho kwenye ligi hadi leo hatujashinda ni draw tu. Halafu mechi ijayo Ahmed Ally anaanza "wanasimbaa tujaze uwanja hatujazoea kucheza bila nye" .
Viongozi wa simba kwenye usajili ni wapuuzi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Simba. Kwa hilo ulilolisema uko sahihi 100%.Yaan mi niliona wamekutana wa level moja ,ndipo nikagundua kwamba Yanga ni timu inayocheza vizur Sana na kufuraisha na yenye mvuto[emoji23][emoji23]
Naona umepata pumzi baada ya kupumuliwa na CR na juzi Medeama....Wydady mtuachie mke wetu ana mimba ya mapacha watano [emoji1588] huyo
galaxy na wydad akijitahidi sana draw kwa mkapa, anachezea kichapo ivory coast, point nne hzo, zinampeleka where?Kwamba utaifunga Wydadi na Galaxy Taifa na then utaifunga Asec Ivory Coast. Umelogwa wewe siyo bure
Wanaoenda ni Wydad na Assec.Mpira wa Africa una timu zake.
Kama simba atafuzu kwenda robo. Ujue atafuzu pamoja na waydad
Yoyote atakaefuzu kundi la simba lazima ataambatana na waydad
Kocha wenu aliwaita manyaniii [emoji23][emoji23][emoji23]Aliyewaiteni ninyi mbumbumbu alikuwa mwanachama wa simba na pia mwenyekit je huyo manara alipokiyaongea hayo alikuwa nani pale yanga?
we dont mark pumba words jo...Kwa Simba hii ya ilivyocheza leo naiona robo fainali kwa point 11 mbele ya asec ambayo itakuwa na point 10
Mark my words
Hapa hautaonekana tena na ID utabadili.Kwa nini isiwe? Tukutane hapa
Alisema wapo kama manyani hakutuita manyaniKocha wenu aliwaita manyaniii [emoji23][emoji23][emoji23]
Simba akipata point 4, ni kwa kudra za mwenyezi Mungu. Kwa vyovyote vile nafasi yake kwenye kundi lake itabaki hiyo hiyo aliyopo sasa.Wanaoenda ni Wydad na Assec.
Wydad atapata points 6 kutoka kwa Simba. Huko kwingne atafanya ajuavyo anasepa Robo.
Kwani mechi mbili za AFL Simba alicheza vibaya? kinacho angaliwa sio umechezaje, bali umepata matokeo gani, Jwaneng Galaxy wanacheza hovyo ila wapo juu ya Wydad na SimbaNaendelea kuwakumbusha