Simba SC na Asec Mimosas ndio zitacheza robo fainali

Simba SC na Asec Mimosas ndio zitacheza robo fainali

Kwa Simba hii ya ilivyocheza leo naiona robo fainali kwa point 11 mbele ya asec ambayo itakuwa na point 10

Mark my words
Yaani mmecheza na timu mbovu kwenye kundi halafu unasifia kuwa imecheza vizuri. Haaahaaahaaa.

Na jamaa sasa wameshaona mwanga hivyo lazima wataweka mikakati mizito kuwakanda nyumbani kwenu
 
Yaan mi niliona wamekutana wa level moja ,ndipo nikagundua kwamba Yanga ni timu inayocheza vizur Sana na kufuraisha na yenye mvuto[emoji23][emoji23]
Belouzedad iliondoa mvuto ama
 
Tumeshapoteza mechi muhimu kwa uzembe wa wachezaji.

Tangu msimu uliopita dirisha ndogo tunaletewa ujanja ujanja kwenye usajili mara Manzoki, wakamleta Baleke, Onana asiye na lolote,unamrudisha miqusion kanenepa hata hawaangilii mwili wanamrudisha tu, chama ndo huyo akikimbia kama baiskeli inashikwa breki na kuachiwa kidogo.

Mechi mbili za mwisho kwenye ligi hadi leo hatujashinda ni draw tu. Halafu mechi ijayo Ahmed Ally anaanza "wanasimbaa tujaze uwanja hatujazoea kucheza bila nye" .

Viongozi wa simba kwenye usajili ni wapuuzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu ninyi ni mambumbu kwa mujibu wa mwenyekiti rage akiwa madarakani
 
Tumeshapoteza mechi muhimu kwa uzembe wa wachezaji.

Tangu msimu uliopita dirisha ndogo tunaletewa ujanja ujanja kwenye usajili mara Manzoki, wakamleta Baleke, Onana asiye na lolote,unamrudisha miqusion kanenepa hata hawaangilii mwili wanamrudisha tu, chama ndo huyo akikimbia kama baiskeli inashikwa breki na kuachiwa kidogo.

Mechi mbili za mwisho kwenye ligi hadi leo hatujashinda ni draw tu. Halafu mechi ijayo Ahmed Ally anaanza "wanasimbaa tujaze uwanja hatujazoea kucheza bila nye" .

Viongozi wa simba kwenye usajili ni wapuuzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan mi niliona wamekutana wa level moja ,ndipo nikagundua kwamba Yanga ni timu inayocheza vizur Sana na kufuraisha na yenye mvuto[emoji23][emoji23]
Mimi ni Simba. Kwa hilo ulilolisema uko sahihi 100%.

Simba ilikuwa na uwezo wa kushinda mechi zote 3 ilizocheza kama ingekuwa serious au ingekuwa na wachezaji wa aina ya Yanga. Mechi dhidi ya Asec (Che Nkapa stadium), Jwaneng Galaxy (kwao) na Wydad (kwao).
 
Tunatamani kuchangia nyuzi zenu tatizo hua mnazikimbia
Tutajazana hapa wenyewe kuwaita
 
Kwamba utaifunga Wydadi na Galaxy Taifa na then utaifunga Asec Ivory Coast. Umelogwa wewe siyo bure
galaxy na wydad akijitahidi sana draw kwa mkapa, anachezea kichapo ivory coast, point nne hzo, zinampeleka where?
 
Mpira wa Africa una timu zake.

Kama simba atafuzu kwenda robo. Ujue atafuzu pamoja na waydad

Yoyote atakaefuzu kundi la simba lazima ataambatana na waydad
Wanaoenda ni Wydad na Assec.

Wydad atapata points 6 kutoka kwa Simba. Huko kwingne atafanya ajuavyo anasepa Robo.
 
Uharoooo na ufyuziiii hapa hadi Kayesh.....pyuuuuu
 
Wanaoenda ni Wydad na Assec.

Wydad atapata points 6 kutoka kwa Simba. Huko kwingne atafanya ajuavyo anasepa Robo.
Simba akipata point 4, ni kwa kudra za mwenyezi Mungu. Kwa vyovyote vile nafasi yake kwenye kundi lake itabaki hiyo hiyo aliyopo sasa.
 
Back
Top Bottom