Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
- Thread starter
-
- #41
Vipi sasaKwani mechi mbili za AFL Simba alicheza vibaya? kinacho angaliwa sio umechezaje, bali umepata matokeo gani, Jwaneng Galaxy wanacheza hovyo ila wapo juu ya Wydad na Simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] semaa tenaaa???Simba akipata point 4, ni kwa kudra za mwenyezi Mungu. Kwa vyovyote vile nafasi yake kwenye kundi lake itabaki hiyo hiyo aliyopo sasa.
Nakukumbusha robo ileeeee!Simba akipata point 4, ni kwa kudra za mwenyezi Mungu. Kwa vyovyote vile nafasi yake kwenye kundi lake itabaki hiyo hiyo aliyopo sasa.
TuliaNakukumbusha robo ileeeee!
Amekuwa Ackson?Tulia
sure mkuuTimu yetu ya Simba siyo vyepesi kuvuka hii hatua ya makundi, trend yao ni mbovu sana, goli la leo lilikuwa linazuilika laiti kama wachezaji wangujipanga kuzuia, yule mfungaji asingeweza kucheza ule mpira kirahisi vile. Wayda wameforce Simba wafanye makosa ya makusudi dakika za mwisho na Simba wakayafanya, hata kwa mkoa Simba hana uwezo wa kumfunga Waydad, akila vibaya Simba atapigwa tena goli 1 au 2
WameifungaKwamba utaifunga Wydadi na Galaxy Taifa na then utaifunga Asec Ivory Coast. Umelogwa wewe siyo bure
ASEC na Wydad ... Simba na Juwaneng out.Kwa Simba hii ya ilivyocheza leo naiona robo fainali kwa point 11 mbele ya asec ambayo itakuwa na point 10
Mark my words
Kwamba utaifunga Wydady na Galax Taifa then uwafunge Asec away.[emoji849]Wameifunga
Kua mpole boli litembeeKwamba utaifunga Wydady na Galax Taifa then uwafunge Asec away.[emoji849]