Simba SC na Azam FC tafuteni haraka Makocha wapya, Nabi tuliyekuwa tunamngojea atimuliwe Yanga SC jana mmeshamkosa

Simba SC na Azam FC tafuteni haraka Makocha wapya, Nabi tuliyekuwa tunamngojea atimuliwe Yanga SC jana mmeshamkosa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Najua mlikuwa mnalificha hili ila kwa wadadisi na wachunguzi wabobezi wa masuala mtambuka nchini Tanzania, Rwanda na Uganda, akina GENTAMYCINE tuna taarifa za uhakika kuwa wote Simba SC na Azam FC mlikuwa mnavizia sana na hata kuombea Yanga SC jana ifungwe na Club Africaine ili Kocha Nabi afukuzwe rasmi na haraka mno, mshindane kwa ofa (pesa) na mumchukue.

Haya huyu ndiyo mmeshamkosa hivyo na Kocha Nabi ataendelea kuwa sana tu Yanga SC, kwahiyo haraka sana Simba SC na Azam FC tangazeni wale Makocha wenu watatu mlio wa 'shortlist' kutoka Uganda, Sudan, Ufaransa na Afrika Kusini.

Mgunda na Ongalla hawana hadhi ya kuwa Makocha wa Vilabu vya Simba na Azam vyenye wachezaji wakubwa na wenye uwezo (vipaji) hata kuliko walivyokuwa wao enzi zao wakicheza soka.
 
Najua mlikuwa mnalificha hili ila kwa Wadadisi na Wachunguzi Wabobezi wa Masuala Mtambuka nchini Tanzania, Rwanda na Uganda akina GENTAMYCINE tuna Taarifa za uhakika kuwa Wote Simba SC na Azam FC mlikuwa mnavizia sana na hata Kuombea Yanga SC Jana ifungwe na Club Africaine ili Kocha Nabi afukuzwe rasmi na haraka mno mshindane kwa Ofa ( Pesa ) na mumchukue.

Haya huyu ndiyo mmeshamkosa hivyo na Kocha Nabi ataendelea kuwa sana tu Yanga SC kwahiyo haraka sana Simba SC na Azam FC tangazemi wale Makocha wenu Watatu mlio wa shortlist kutoka Uganda, Sudan, Ufaransa na Afrika Kusini.

Mgunda na Ongalla hawana Hadhi ya kuwa Makocha wa Vilabu vya Simba na Azam vyenye Wachezaji wakubwa na wenye Uwezo ( Vipaji ) hata kuliko walivyokuwa Wao enzi zao Wakicheza Soka.
Kipi kinakufanya uamini Ongalla na Mgunda hawana kiwango ?
Mpe huyo Nabi Coastal Union kisha mdai makombe kama ataweza
 
 
Najua mlikuwa mnalificha hili ila kwa wadadisi na wachunguzi wabobezi wa masuala mtambuka nchini Tanzania, Rwanda na Uganda, akina GENTAMYCINE tuna taarifa za uhakika kuwa wote Simba SC na Azam FC mlikuwa mnavizia sana na hata kuombea Yanga SC jana ifungwe na Club Africaine ili Kocha Nabi afukuzwe rasmi na haraka mno, mshindane kwa ofa (pesa) na mumchukue.

Haya huyu ndiyo mmeshamkosa hivyo na Kocha Nabi ataendelea kuwa sana tu Yanga SC, kwahiyo haraka sana Simba SC na Azam FC tangazeni wale Makocha wenu watatu mlio wa 'shortlist' kutoka Uganda, Sudan, Ufaransa na Afrika Kusini.

Mgunda na Ongalla hawana hadhi ya kuwa Makocha wa Vilabu vya Simba na Azam vyenye wachezaji wakubwa na wenye uwezo (vipaji) hata kuliko walivyokuwa wao enzi zao wakicheza soka.
Genta bana.
 
Uzuri wako Gentamycine huwa huna unafki kabisa.

Uliiombea njaa Yanga kwa Africaine lakini Yanga waliposhinda hukusita kuwapongeza.

Kweli kabisa Makolo ndiyo wanaotaka Kocha Nabi afukuzwe ili wamchukue wao.

Wengine Makolo wasio na unafki ni Scars & Kalpina.
 
Najua mlikuwa mnalificha hili ila kwa wadadisi na wachunguzi wabobezi wa masuala mtambuka nchini Tanzania, Rwanda na Uganda, akina GENTAMYCINE tuna taarifa za uhakika kuwa wote Simba SC na Azam FC mlikuwa mnavizia sana na hata kuombea Yanga SC jana ifungwe na Club Africaine ili Kocha Nabi afukuzwe rasmi na haraka mno, mshindane kwa ofa (pesa) na mumchukue.

Haya huyu ndiyo mmeshamkosa hivyo na Kocha Nabi ataendelea kuwa sana tu Yanga SC, kwahiyo haraka sana Simba SC na Azam FC tangazeni wale Makocha wenu watatu mlio wa 'shortlist' kutoka Uganda, Sudan, Ufaransa na Afrika Kusini.

Mgunda na Ongalla hawana hadhi ya kuwa Makocha wa Vilabu vya Simba na Azam vyenye wachezaji wakubwa na wenye uwezo (vipaji) hata kuliko walivyokuwa wao enzi zao wakicheza soka.
Tatizo sio kocha kuna mtu pale tangu aiingie Simba haijamfunga Yanga huyo ni tatizo Sana
 
Kama menejimenti ya SIMBA ina vision ..
Watengeneze timu competitive..
Sioni simba ikicheza soka la ufundi, hasa eneo la kushambulia ingawa ilishinda Agosto.
Ila mechi za AZAM, YANGA, KCMC , SINGIDA BIG STARS...
simba ni timu iliyokusanywa lakini sioni falsafa gani pale...

Kama kuna ndoto SIMBA kwa kubwa
 
Najua mlikuwa mnalificha hili ila kwa wadadisi na wachunguzi wabobezi wa masuala mtambuka nchini Tanzania, Rwanda na Uganda, akina GENTAMYCINE tuna taarifa za uhakika kuwa wote Simba SC na Azam FC mlikuwa mnavizia sana na hata kuombea Yanga SC jana ifungwe na Club Africaine ili Kocha Nabi afukuzwe rasmi na haraka mno, mshindane kwa ofa (pesa) na mumchukue.

Haya huyu ndiyo mmeshamkosa hivyo na Kocha Nabi ataendelea kuwa sana tu Yanga SC, kwahiyo haraka sana Simba SC na Azam FC tangazeni wale Makocha wenu watatu mlio wa 'shortlist' kutoka Uganda, Sudan, Ufaransa na Afrika Kusini.

Mgunda na Ongalla hawana hadhi ya kuwa Makocha wa Vilabu vya Simba na Azam vyenye wachezaji wakubwa na wenye uwezo (vipaji) hata kuliko walivyokuwa wao enzi zao wakicheza soka.
Mgunda why useme hana hadhi ya kuifundisha simba
 
Kama menejimenti ya SIMBA ina vision ..
Watengeneze timu competitive..
Sioni simba ikicheza soka la ufundi, hasa eneo la kushambulia ingawa ilishinda Agosto.
Ila mechi za AZAM, YANGA, KCMC , SINGIDA BIG STARS...
simba ni timu iliyokusanywa lakini sioni falsafa gani pale...

Kama kuna ndoto SIMBA kwa kubwa
Bro huwezi leta falsafa ukiwa unamtegemea kanoute
 
Back
Top Bottom