Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Yanga imechagua professional football over drama na traditional ways of doing things na kimsingi wapo serious .
Hakuna mambo ya ulaghai. Kalumanzila na mpira wa mdomoni.. everything ni kwenye pitch , tuoneshe kikosi cha bil 7, otherwise ni drama na traditional ways of doing things.
Very soon Simba SC anakwenda kuwa underdog kwa Yanga by 80%
Soma Pia: Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala
There is no shortcut kwenye soka, mpirani mchezo wa wazi kabisa na hakuna njia ya mkato. lakini Simba SC wapo bado kwenye UDANGANYIFU na Utapeli….. kikosi cha bil 7 , nasema tena bado hamjawa serious na bado mmezoea shortcu Kazi mnayo
Yanga kanyaga twende.
Tumechelewa sana . Kombe linaéda kwa YANGA as usual , hakuna timu itakayouweza Yanga kwa miaka 5 mfululizo.
Hakuna mambo ya ulaghai. Kalumanzila na mpira wa mdomoni.. everything ni kwenye pitch , tuoneshe kikosi cha bil 7, otherwise ni drama na traditional ways of doing things.
Very soon Simba SC anakwenda kuwa underdog kwa Yanga by 80%
Soma Pia: Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala
There is no shortcut kwenye soka, mpirani mchezo wa wazi kabisa na hakuna njia ya mkato. lakini Simba SC wapo bado kwenye UDANGANYIFU na Utapeli….. kikosi cha bil 7 , nasema tena bado hamjawa serious na bado mmezoea shortcu Kazi mnayo
Yanga kanyaga twende.
Tumechelewa sana . Kombe linaéda kwa YANGA as usual , hakuna timu itakayouweza Yanga kwa miaka 5 mfululizo.