SIMBA SC na Azam, kuna kitu Yanga anawafundisha lakini hamuelewi. Mpira hauna shortcut

SIMBA SC na Azam, kuna kitu Yanga anawafundisha lakini hamuelewi. Mpira hauna shortcut

Mwisho wenu hauko mbali... huku sio ulaya...hii ni Africa tena Tanzania...
Endeleeni kubwabwaja...
 
Mwisho wenu hauko mbali... huku sio ulaya...hii ni Africa tena Tanzania...
Endeleeni kubwabwaja...
Watakuiba hao utopolo si wazuri hata, ebu sogeza kiti karibu nami umwagilie moyo Mrembo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mashabiki Yanga wengi akili hawana yaan washasau kuwa kabla ya Simba kuchukuwa Mara 4 mfulululizo wao wakichukuwa Mara 3 tena ikaja Simba toka 2018 hadi 2022 miaka 4 kwa mtu aliyekuwa na akili hupaswi kuamini maana hata iweje Yanga haitokuwa na uwezo kuchukuwa zaidi ya Mara 5 ikizidi sana Mara 4 hizi timu ni za serikali ya CCM kuwapumbaza Watanzania that's why wote wamechukuwa makombe zaidi ya 20 kila mmoja na serikali haipo tayari kuona timu moja inakufa itafanya lolote liwezalo ili kubalance ni suala la muda tu Kwa Yanga kuanguka ngoma huo ni mpango wa serikali kudhibiti watanzania ngoma ikivuma sana mwisho ''''''''''''
Inawezekana upo sahihi mkuu ila iyo ilikua uko zaman na sio sas

kumbuka watu wameweka hela zao kwenye izo team kuna wachezaji wakigeni wanalipwa hela ndefu sana apo halaf kizembezembe tu serekali ingize mkono wake kwa kuendekeza siasa zenu za maji taka ? Never
 
Inawezekana upo sahihi mkuu ila iyo ilikua uko zaman na sio sas

kumbuka watu wameweka hela zao kwenye izo team kuna wachezaji wakigeni wanalipwa hela ndefu sana apo halaf kizembezembe tu serekali ingize mkono wake kwa kuendekeza siasa zenu za maji taka ? Never
CCM haitakubali hilo that's why hata wakina MO na GSM serikali ikiwata waondoke wanasepa hata unaona asilimia mwisho 49 unafikiri zile 51 ni za nani angalia hata matamasha yao Raisi lazima atie neno ni suala la muda hizo timu za serikali kuwapumbaza watanzania hawatakubali mmoja iwee juu kwa miaka 5 na nyingine ife watakosa neno ni suala la muda tu Yanga kuanguka kwani ww akili yako Ile miaka 4 ya Simba uliamini Leo watakosa kombe Mara 3 mm niliamin na niliwaaambia wengi kama vile navyokuambia na ww ila kama bado unaamini hizo timu zipo serious sawa ila huo ndio ukweli Yanga hana uwezo wa kuchukuwa kombe Mara zaidi ya 5 kama vile Simba asivyoweza ndio itakavyokuwa hao kulwa na Dotto hawawezi kukubali mmoja aanguke kisa ww yaan Yanga achukuwe kombe Mara 10 hivi hata ww unaona inakuja akili hii ule umati wote wa wana Simba kwa serikali ya CCM unaweza kuwa kikwazo
 
Yanga imechagua professional football over drama na traditional ways of doing things na kimsingi wapo serious .

Hakuna mambo ya ulaghai. Kalumanzila na mpira wa mdomoni.. everything ni kwenye pitch , tuoneshe kikosi cha bil 7, otherwise ni drama na traditional ways of doing things.

Very soon Simba SC anakwenda kuwa underdog kwa Yanga by 80%

Soma Pia: Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

There is no shortcut kwenye soka, mpirani mchezo wa wazi kabisa na hakuna njia ya mkato. lakini Simba SC wapo bado kwenye UDANGANYIFU na Utapeli….. kikosi cha bil 7 , nasema tena bado hamjawa serious na bado mmezoea shortcu Kazi mnayo

Yanga kanyaga twende.

Tumechelewa sana . Kombe linaéda kwa YANGA as usual , hakuna timu itakayouweza Yanga kwa miaka 5 mfululizo.
Simba ilitawala miaka 4 hapa. Hamkusema au umesahau
 
Yanga imechagua professional football over drama na traditional ways of doing things na kimsingi wapo serious .

Hakuna mambo ya ulaghai. Kalumanzila na mpira wa mdomoni.. everything ni kwenye pitch , tuoneshe kikosi cha bil 7, otherwise ni drama na traditional ways of doing things.

Very soon Simba SC anakwenda kuwa underdog kwa Yanga by 80%

Soma Pia: Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

There is no shortcut kwenye soka, mpirani mchezo wa wazi kabisa na hakuna njia ya mkato. lakini Simba SC wapo bado kwenye UDANGANYIFU na Utapeli….. kikosi cha bil 7 , nasema tena bado hamjawa serious na bado mmezoea shortcu Kazi mnayo

Yanga kanyaga twende.

Tumechelewa sana . Kombe linaéda kwa YANGA as usual , hakuna timu itakayouweza Yanga kwa miaka 5 mfululizo.
Simba wameamua kufanya kitu tofauti, wenyewe wamejitoa kwenye soccer la ushindani, wameamua kuanzisha soccer academy kwa ajili ya kulea wachezaji na wapo very proud katika hilo
 
Yanga imechagua professional football over drama na traditional ways of doing things na kimsingi wapo serious .

Hakuna mambo ya ulaghai. Kalumanzila na mpira wa mdomoni.. everything ni kwenye pitch , tuoneshe kikosi cha bil 7, otherwise ni drama na traditional ways of doing things.

Very soon Simba SC anakwenda kuwa underdog kwa Yanga by 80%

Soma Pia: Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

There is no shortcut kwenye soka, mpirani mchezo wa wazi kabisa na hakuna njia ya mkato. lakini Simba SC wapo bado kwenye UDANGANYIFU na Utapeli….. kikosi cha bil 7 , nasema tena bado hamjawa serious na bado mmezoea shortcu Kazi mnayo

Yanga kanyaga twende.

Tumechelewa sana . Kombe linaéda kwa YANGA as usual , hakuna timu itakayouweza Yanga kwa miaka 5 mfululizo.
 

Attachments

  • RPReplay_Final1723534475.mov
    17.5 MB
Back
Top Bottom