Najua wengi wataudhika lakini wizara ya fedha chini yabkijana shupavu Waziri Mwigulu Nchemba wawawekee timu hizi 2 utaratibu wa kulipa kodi kama makampuni,mashirika,viwanda n.k kodi haibagui.
Kodi sio hiyari ni lazima.Simba na Yanga waajiri wahasibu kama makampuni mengine na wautangazie umma faida au hasara kabla ya kodi.
Waziri Mwigulu timu zote duniani za michezo hasa mpira wa miguu zinalipa kodi.Mfano tu Arsenal walitoa statement ya mahesabu yao kuonyesha walipata hasara ya paundi milioni52 kabla ya kodi.
Hii inamaanisha kuwaambia wapenzi na wanachama wao hali ya kifedha klabuni lakini bado wakazungumzia kodi. Wizara husika haina budi kuwataka simba na yanga waweke mahesabu yao kila mwaka,wawasilishe wizarani na wakadiriwe kama wengine kiasi cha kodi wanachotakiwa kulipa.Waziri Nchemba kodi haichagui.Nawasilisha.
Kodi sio hiyari ni lazima.Simba na Yanga waajiri wahasibu kama makampuni mengine na wautangazie umma faida au hasara kabla ya kodi.
Waziri Mwigulu timu zote duniani za michezo hasa mpira wa miguu zinalipa kodi.Mfano tu Arsenal walitoa statement ya mahesabu yao kuonyesha walipata hasara ya paundi milioni52 kabla ya kodi.
Hii inamaanisha kuwaambia wapenzi na wanachama wao hali ya kifedha klabuni lakini bado wakazungumzia kodi. Wizara husika haina budi kuwataka simba na yanga waweke mahesabu yao kila mwaka,wawasilishe wizarani na wakadiriwe kama wengine kiasi cha kodi wanachotakiwa kulipa.Waziri Nchemba kodi haichagui.Nawasilisha.