Simba SC na KMC:Tanzania Premier League 2018

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
Tanzania Premiere League TPL kuendelea leo :
Simba wamepata goli 2 kipindi cha kwanza na sasa Muda wa Mapumziko.
Goli la kwanza likifungwa na Adamu Salamba dakika ya 12"
Na Goli la pili likifungwa na
Saidi Ndemla dakika ya 14"
Nawasilisha simba nguvu moja tunaendelea na kipindi cha pili.
===== Updates======
Mpira umeisha dakika 90"
Simba 2
Kmc 1.
 
Tafsiri halisi ya kikosi kipana imeonekana leo, tunaweza kucheza na Nkana ligi ya mabingwa jumapili na wakati huo huo tukacheza ligi kuu Tanzania Bara upande mwingine wa nchi yetu.
 
Tafsiri halisi ya kikosi kipana imeonekana leo, tunaweza kucheza na Nkana ligi ya mabingwa jumapili na wakati huo huo tukacheza ligi kuu Tanzania Bara upande mwingine wa nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…