Simba SC namuhitaji Emanuel Gabriel Okwi Kikosini kama hamuwezi Kuongea nae nitumeni Mimi kwani nammudu na atasaini tu

Simba SC namuhitaji Emanuel Gabriel Okwi Kikosini kama hamuwezi Kuongea nae nitumeni Mimi kwani nammudu na atasaini tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo.

Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
 
Tena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo. Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
Kwa umri wake aje na mkongojo kabisa
 
Tena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo. Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
Ili waje kumsaidia Matola kwenye benchi la ufundi, au?
 
Emmanuel Arnold Okwi ni mtu muhimu na Legend wa simba kama kuna uwezekano wa kumrudisha huyu mwamba ni Jambo la maana sana
Sidhani kama wanamshindwa labda wanaogopa mashabiki kuwaona hawapo serious kusajili watu ambao umri umeenda
 
Wamrudishe na Juma Kasejsa,yeye Okwi,Hamis Kiza,Mavugo,Matola avae jezi,Mwanjale ili tu uishi kama zamani maana haujawahi kukoma ku wish uishi kama zamani zama zako za primary.
Simba hii ya sasa inahitaji vijana wenye ndoto ya kuchezea timu kubwa zaidi ya Simba yenyewe.
 
Mm pia nimeshangaa maana Emmanuel Gabriel ni mwengine na Emmanuel Arnold Okwi ni mwengine ila kwa kua mtoa mada ni mjuaji,jeuri na mtu wa matusi ikabidi tu nikaushe!
Hata kama nimekosea Jina lakini Content imeshamaanisha ni Emanuel Okwi tatizo liko wapi Kwenu kuelewa tu haraka?
 
Tena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo.

Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
Timu wana sajili viongozi lawama anapewa kocha kwa wachezaji walio sajiliwa na viongozi. Mpira wetu huu unasafari ndefu sana kuyafikia mafanikio.
 
Back
Top Bottom