Simba SC namuhitaji Emanuel Gabriel Okwi Kikosini kama hamuwezi Kuongea nae nitumeni Mimi kwani nammudu na atasaini tu

Simba SC namuhitaji Emanuel Gabriel Okwi Kikosini kama hamuwezi Kuongea nae nitumeni Mimi kwani nammudu na atasaini tu

Popoma
IMG-20220624-WA0137.jpg
IMG-20220624-WA0116.jpg
IMG-20220624-WA0121.jpg
 
Tena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo.

Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
Wewe ni kirusi hapo Simba.Nadhani ni miongoni mwa wale wapiga dili mnaotaka kufaidi mapato ya club wakati hamchezi mpira.
Ninyi ndio mnaouza mechi kwa kushirikiana na wachezaji mnaosema "mnawamudu"
Simba inapaswa kuogopa sana watu wa aina yako.
Ulinikera sana ulipotaka Matola aondoke.Pamoja na uzoefu wote alioupata akiwa Simba,anakuja mtu kalewa kimpumu anasema maneno kama hayo!
 
Wewe ni kirusi hapo Simba.Nadhani ni miongoni mwa wale wapiga dili mnaotaka kufaidi mapato ya club wakati hamchezi mpira.
Ninyi ndio mnaouza mechi kwa kushirikiana na wachezaji mnaosema "mnawamudu"
Simba inapaswa kuogopa sana watu wa aina yako.
Ulinikera sana ulipotaka Matola aondoke.Pamoja na uzoefu wote alioupata akiwa Simba,anakuja mtu kalewa kimpumu anasema maneno kama hayo!
Kwahiyo Kwako Wewe Mwana Yanga SC Kocha Matola ambaye namjua ndani nje na ni Rafiki yangu mkubwa ni Kocha wa Kuisaidia Simba SC? Tafadhali acha Kunilazimisha nianze Kukudharau sawa? Huna unachokijua kuhusu Simba SC na huyo Kocha Matola ambaye Yeye na Mwenzake Meneja Rweymamu ndiyo Wasaliti wakubwa wa Simba SC kila ikicheza na Yanga SC kwa Kuuza Mechi na kutoa Siri za Kambi wakimpa Msaliti Mwenzao Said Tuli.

Unataka niendelee au niishie hapa tu? Mpuuzi Mmoja Mkubwa Wewe. Ukiona GENTAMYCINE naandika Mambo ( Masuala ) ya Simba SC hapa Jamiiforums au Naichambua 'Kiufundi' kaa mbali kwani naijua Simba SC na nimeshaifanyia makubwa tena ya Hatari ( kwa Kujitoa Mhanga) kwa Kushirikiana na Waandamizi wa Klabu yako ( yenu ) hiyo sawa?

Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom