GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa umri wake aje na mkongojo kabisaTena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo. Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
Ili waje kumsaidia Matola kwenye benchi la ufundi, au?Tena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo. Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
Okwi hakui, miaka yake imebakia palepale 29Kwa umri wake aje na mkongojo kabisa
Ni pacha na yule dada yetu aliyekuwa miss tz kipindi hicho? Maana yule nae hakuiOkwi hakui, miaka yake inebakia palepale 29
Ni pacha na yule dada yetu aliyekuwa miss tz kipindi hicho? Maana yule nae hakuiOkwi hakui, miaka yake inebakia palepale 29
Mm pia nimeshangaa maana Emmanuel Gabriel ni mwengine na Emmanuel Arnold Okwi ni mwengine ila kwa kua mtoa mada ni mjuaji,jeuri na mtu wa matusi ikabidi tu nikaushe!Anaitwa Emmanuel Arnold Okwi...Sio Emmanuel Gabriel Okwi.
Mwaisela na Sewahaji zote ni Muhimbili tu Pimbi Wewe.Anaitwa Emmanuel Arnold Okwi...Sio Emmanuel Gabriel Okwi.
Hata kama nimekosea Jina lakini Content imeshamaanisha ni Emanuel Okwi tatizo liko wapi Kwenu kuelewa tu haraka?Mm pia nimeshangaa maana Emmanuel Gabriel ni mwengine na Emmanuel Arnold Okwi ni mwengine ila kwa kua mtoa mada ni mjuaji,jeuri na mtu wa matusi ikabidi tu nikaushe!
Timu wana sajili viongozi lawama anapewa kocha kwa wachezaji walio sajiliwa na viongozi. Mpira wetu huu unasafari ndefu sana kuyafikia mafanikio.Tena fanyeni upesi mtafuteni na zungumzeni nayo Simba SC ya sasa inamuhitaji mno Okwi aje Kuungana na akina Phiri na wengineo na nina uhakiika Kikosi chetu kitakuwa Kizuri kuliko mfikiriavyo.
Kama hamumuwezi tafadhali niambieni ili nikamalizane nae kwani Yeye na aliyekuwa Beki wetu Tegemeo na Mganda Mwenzake Joseph Owino ni Wanangu kinomanoma na hawapinduki Kwa Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi.
POPOMA kubali ulichemkaMwaisela na Sewahaji zote ni Muhimbili tu Pimbi Wewe.
Nikubali mnicheke? Hapa ni Kukomaa tu mpaka mwisho.POPOMA kubali ulichemka
Genta buana..[emoji16][emoji1787][emoji23]Nikubali mnicheke? Hapa ni Kukomaa tu mpaka mwisho.