GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama kuna Mchezaji wa Simba SC ambaye Kutwa anatupandisha Hasira wana Simba SC na hatujui ni kwanini Makocha huwa wanapenda Kumuanzisha First Eleven ni huyu Pape Ousmane Sakho.
Na kama kuna Mchezaji ambaye Simba SC ni muhimu, tegemeo na Lulu Kwetu kutokana na Kipaji chake Tukuka ( tena kumzidi hata Sakho ), ila hatutaki Kumuamini na Kumtumia vyema ni huyu Kiungo Mshambuliaji Augustine Okra.
Ni kweli nakiri na kutaarifiwa na Mmoja wa Mdau wa Soka aishiye nchini Ghana kuwa Okra hawezi Kucheza dakika zote 90 na anaweza tu Kucheza dakika 75 ila zinafaida kuliko dakika zote 90 ambazo Sakho anazicheza huku akiwa anarukaruka tu Uwanjani na kutafuna hovyo Bubble Gum ( Big G ) na mdomo wake ulio kama Chuchunge vile.
Okra awe anaanza badala ya Sakho na hapa hata tusiwe Wanafiki Simba SC ya jana bila kuingia kwa Okra na vile alivyokuwa akicheza, akiwakimbiza Mabeki huku akipiga Miwa ( Mashuti ) ya maana tungeishia kutoka Suluhu na kuendelea Kuuimba Wimbo wetu mpya na pendwa wa "Hatumtaki Matola" na jana huenda ingekuwa ni Remix yake.
Tafadhali sana Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally nimedokezwa na Mdau wako Mmoja kutoka Azam Media ulikokuwa kuwa huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums na MImi GENTAMYCINE ni Follower wako basi nakuomba nifikishie hili kwa akina Mgunda, Matola na Rweymamu na lifanyiwe Kazi haraka.
Na kama kuna Mchezaji ambaye Simba SC ni muhimu, tegemeo na Lulu Kwetu kutokana na Kipaji chake Tukuka ( tena kumzidi hata Sakho ), ila hatutaki Kumuamini na Kumtumia vyema ni huyu Kiungo Mshambuliaji Augustine Okra.
Ni kweli nakiri na kutaarifiwa na Mmoja wa Mdau wa Soka aishiye nchini Ghana kuwa Okra hawezi Kucheza dakika zote 90 na anaweza tu Kucheza dakika 75 ila zinafaida kuliko dakika zote 90 ambazo Sakho anazicheza huku akiwa anarukaruka tu Uwanjani na kutafuna hovyo Bubble Gum ( Big G ) na mdomo wake ulio kama Chuchunge vile.
Okra awe anaanza badala ya Sakho na hapa hata tusiwe Wanafiki Simba SC ya jana bila kuingia kwa Okra na vile alivyokuwa akicheza, akiwakimbiza Mabeki huku akipiga Miwa ( Mashuti ) ya maana tungeishia kutoka Suluhu na kuendelea Kuuimba Wimbo wetu mpya na pendwa wa "Hatumtaki Matola" na jana huenda ingekuwa ni Remix yake.
Tafadhali sana Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally nimedokezwa na Mdau wako Mmoja kutoka Azam Media ulikokuwa kuwa huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums na MImi GENTAMYCINE ni Follower wako basi nakuomba nifikishie hili kwa akina Mgunda, Matola na Rweymamu na lifanyiwe Kazi haraka.