Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mchezaji wa ukweli na mwenye hadhi ya kimataifa hawezi kuingizwa dakika ya 86 halafu hao wanaocheza humo ndani nao wana uwezo wa kawaida sana, huyu ADEBAYOR hapana, hapana, hapana, ni wizi mtupu.
Adebayor ameshuka kiwango, Adebayor hana maajabu yoyote, adebayor hawezi chenga, adebayor hana control, adebayor hana spirit, adebayor hana control, adebayor hana balance, anaanguka anguka t dimbani, adebayor amekuwa na kitambi kwa kukaa benchi RS Berkane.
Naanza na huyu, najua alipokuja nchini mlikaa naye kufikia hatua nzuri na baadae mmepanga muende Berkane mkamalize naye, chaneni all contract documents kama mlikuwa nazo na mkazitupe dampo la Pugu.
Na natoa angalizo msisajili wachezaji kwa umaarufu wao waliokuwa nao, ss hv tunataka tuwaone kabla ya kuwasajili, hata Luious Micquisone ameachwa timu yake ya Taifa kwa sababu kiwango kimeshuka sana.
Adebayor ameshuka kiwango, Adebayor hana maajabu yoyote, adebayor hawezi chenga, adebayor hana control, adebayor hana spirit, adebayor hana control, adebayor hana balance, anaanguka anguka t dimbani, adebayor amekuwa na kitambi kwa kukaa benchi RS Berkane.
Naanza na huyu, najua alipokuja nchini mlikaa naye kufikia hatua nzuri na baadae mmepanga muende Berkane mkamalize naye, chaneni all contract documents kama mlikuwa nazo na mkazitupe dampo la Pugu.
Na natoa angalizo msisajili wachezaji kwa umaarufu wao waliokuwa nao, ss hv tunataka tuwaone kabla ya kuwasajili, hata Luious Micquisone ameachwa timu yake ya Taifa kwa sababu kiwango kimeshuka sana.