Simba SC ndani ya PES 20

Simba SC ndani ya PES 20

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Simba SC ya Tanzania ndani ya PES CAF, zipo teams 51 tu za africa ,ikumbukwe simba ni ya 16 afrika kwa ubora hivyo ni lazima iiingie kwenye issue hiyo



Screen Shot 2020-01-01 at 9.59.50 PM.png
 
Sio patch kweli hii?
Au konami wameupdate,mbona imechanganywa na team za ulaya?
Siku zote vilabu vya afrika huwa haviwekwi kwenye football games.
 
Sio patch kweli hii?
Au konami wameupdate,mbona imechanganywa na team za ulaya?
Siku zote vilabu vya afrika huwa haviwekwi kwenye football games.
hapana ni official news imetoka lisaa liliopita teams zipo 51 tu hata as vita ya congo wamepost kwenye page yao ya instagram wakishangilia
 
Mashabiki wa Simba bwana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
AS vita wanshangilia, Ghana wanashangilia kwa nini nasi tusifurahie,hata mkinuna HIII NI BIG NEWS YA KARNE, vinara wa east africa

The producers of the football simulation video game have decided to stretch their feathers on the Africa continent with its latest soccer game. For the first time in history, several other clubs have been included and will be available for selection in the CAF Champions League.
Besides Hearts of Oak and Asante Kotoko, the PES 2020 is featuring other African giants such as Egyptian sides Al Ahly and Zamalek, Tunisian outfits Esperance Sportif de Tunis and Etoile Sportif du Sahel, as well as TP Mazembe.
The addition of the Ghanaian clubs comes as a piece of good news to gamers in the West African country who have been waiting to experience their clubs in the gameplay.
Among several additions, the PES 2020 will also give gamers across the globe the opportunity of enjoying the Euro 2020 with Konami having already purchased the right for the tournament.
The game which was released on September 10, 2019, is available on PC, PlayStation 4, Xbox One, Android and IOS.
 
as vita wakishangilia ingawa nchi yao zipo teams tatu ,vita ,mazembe na motema pembe ,kwa east africa kama kawaida msalaba wa kuwatoa tongotongo washamba huwa unabebwa na simba wekundu wa msimbazi
Screen Shot 2020-01-01 at 10.39.02 PM.png
 
hapana ni official news imetoka lisaa liliopita teams zipo 51 tu hata as vita ya congo wamepost kwenye page yao ya instagram wakishangilia
Embu weka source ya hiyo habari yako hapa.
 
ingia hata insta kwenye page ya as vita wanashangilia nao
Kwenye official page pes hakuna hiyo taarifa naona ni mambo ya patch na mod tu hapo. Wajanja wajanja maana me tangu pes2017 nilikuwa pia naweka team za caf.
 
Kwenye official page pes hakuna hiyo taarifa naona ni mambo ya patch na mod tu hapo. Wajanja wajanja maana me tangu pes2017 nilikuwa pia naweka team za caf.
umeangalia link ya you tube niliyoweka hapo juu, angalia kuanzia dakika ya 4.30 utaona issue ya caf kama ni mwana chura pole sana inabidi mvumilie tu maana hata mo arena soon itajengwa majukwaa
 
Back
Top Bottom