Simba SC ndani ya PES 20

Simba SC ndani ya PES 20

Sio patch kweli hii?
Au konami wameupdate,mbona imechanganywa na team za ulaya?
Siku zote vilabu vya afrika huwa haviwekwi kwenye football games.
Hakuna club yoyote ya ulaya hapo..kama ni hiyo ajax hiyo ni ile ajax ya cape town.
 
Hakuna club yoyote ya ulaya hapo..kama ni hiyo ajax hiyo ni ile ajax ya cape town.
hizo ni za africa ni update ya 2020,mwezi wa 11 last year waliuliza maoni ya watu watoe wishlist yao watu wakataka caf league teams za africa ziwe nyingi
 
Hakuna club yoyote ya ulaya hapo..kama ni hiyo ajax hiyo ni ile ajax ya cape town.
hizo ni za africa ni update ya 2020,mwezi wa 11 last year waliuliza maoni ya watu watoe wishlist yao watu wakataka caf league teams za africa ziwe nyingi
 
LILE FUNIKO WALILOTOA WANANCHI JANA SIJUI KAMA LITAWEZA KUFUNULIWA!!
 
Hiyo PEC ni kitu gani ambacho na Yanga tuliowafunga goli 4 wapi.Wasituchanganye kabisa na hao.Afadhali Azam
 
Back
Top Bottom