Simba SC ndio benchmark ya soka la bongo

Simba lunyasi

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2022
Posts
385
Reaction score
840
Japo kila mmoja ana haki ya kushabikia timu yoyote aipendayo na ana haki ya kujivunia timu aipendayo ila ukweli lazima usemwe.

Simba ndio standard ya mpira wetu Tanzania.

Timu zingine zote zinapima mafanikio yao Kwa kuiangalia Simba SC ilipo.

Wala Mihogo karibuni Kwa koment fupifupi
 


Matola anatusalimu!

Huyu Matola nilimsikiliza hoja yake na nilichokuja kubaini he is holding a grudge

Kote huko alianza vizuri ila baada ya swali la Jemedar tu ghafla mtandao ukaanza kuzingua

Geof alielezea vizuri kuwa hata Liverpool nao hawana hao makocha ambao wamekosekana Simba, why iwe ni big deal mpaka ufikie stage hiyo ya kuandika barua wakati ni jambo la kawaida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…